• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

NAIBU WAZIRI AAGIZA WADAIWA SUGU WA ARDHI KUFIKISHWA MAHAKAMANI

Imewekwa: August 16th, 2019

NAIBU WAZIRI ATOA AGIZO WADAIWA SUGU WA ARDHI KUFIKISHWA MAHAKAMANI

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angelina Mabula atoa maagizo kwa Mwanasheria na Afisa Ardhi Wilayani Sikonge kuhakikisha wanaandaa taratibu za kuwapeleka mahakamani wadaiwa sugu wa Ardhi Wilayani humo.

Hatua hiyo inafuatia baada ya wadaiwa hao kupewa notisi ya kulipa kodi lakini wameendelea kukaidi na mpaka sasa hawajalipa fedha hizo zinazodaiwa..

Mabula ametoa kauli hiyo wakati wa ziara yake Wilayani Sikonge ya kufuatilia madeni na kukagua shughuli mbalimbali za sekta ya Ardhi ikiwemo kutembelea masijala ya Ardhi iliyopo ndani ya Halmashauri ya Sikonge.

Mhe. Angelina Mabula akikagua masijala ya Ardhi zilizopo ofisi za Halmashauri ya Sikonge mapema alipokuwa ziara yake Wilayani hapa.

Alitaja baadhi ya wadaiwa sugu kuwa ni Kampuni ya TLTC, WETCO, TRA na mengine mengi, alionesha kusikitishwa na Shirika la Umma TRA kuwa miongoni mwa wadaiwa sugu wakati ilitakiwa kuwa mstari wa mbele katika kulipa kodi.

Alisema kuwa fedha hizo ni muhimu zikakusanywa na kuwasilishwa serikalini ili zisaidie shughuli mbalimbali za maendeleo kama vile ujenzi wa Reli ya kisasa, mradi wa umeme  ujenzi wa vituo vya afya na hospitali kwani mpango wa serikali kwa sasa ni kutumia mapato ya ndani ikiwemo kodi katika kutekeleza miradi hiyo.

Naye Mkuu wa Wilaya alitoa wito kwa watendaji wanaohusika katika ukusanyaji kodi kufanya haraka kwani baadhi ya wadaiwa sugu ikiwemo kampuni ya TLTC wamemaliza shughuli na wanategemea kuondoka nchini.

Wakati huo huo Mabula aliziagiza Halmashauri Mkoani Tabora kutumia wasomi kutoka chuo cha Ardhi kilichopo Mkoani hapo kupima maeneo na mashamba ya Wananchi ili yaweze kuingizwa katika makazi bora sambamba na kuwapatia wananchi uchumi.

Jambo hilo lilipokelewa na Mkurugenzi wa Halmashauri Martha Luleka pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe. Peter Nzalalila na kuahidi kuzingati maagizo hayo.

Sanjari na mazungumzo hayo pia Mhe. Mabula alipata wasaa wa kutembelea eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa viwanda Wilayani hapa, eneo hilo lenye ukubwa wa Ekari 8.5 limeshapimwa tayari kwa ujenzi wa viwanda. Jambo hilo lilipongezwa na Mabula kwani wamezingatia kauli mbiu ya Tanzania ya Viwanda.

Mhe. angelina Mabula akipata maelezo toka kwa Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Peres Magiri (pichani) wakati alipotembelea eneo lililotengwa kwa ajili ya Viwanda Wilayani Sikonge

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa