• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

Maji

JINA LA MKUU WA IDARA

NAMBA YA SIMU YA MKUU WA IDARA

BARUA PEPE YA IDARA ,ANUANU, NUKUSHI , SIMU YA MEZANI

Paschal .J. Ngunda
0784 664 773 / 0759 840 768
dwe@sikongedc.go.tz





IDADI YA WATUMISHI 

Na
Waliopo
Idadi
Mahitaji
Upungufu
1
Mhandisi

2

3

1

2
Fundi sanifu

5

7

2

3
Fundi sanifu msaidizi

6

9

3

4
Dereva

1



5
Msaidizi wa kumbukumbu

1



6
Katibu muhutasi

1

1

7
Msaidizi wa ofisi

1

1

MAJUKUMU YA IDARA /KITENGO

  • Kusaidia jamii katika kubuni , kujenga na kusimamia uendeshaji wa miradi ya maji.(w)
  • Kusanifu miradi ya maji (w)
  • Kusimamia ujenzi wa miradi ya maji .( w )
  • Kusimamia uendeshaji na matengenezo  (w) 
  • Kuratibu huduma za utowaji wa maji  (w)

TAKWIMU MUHIMU ZA IDARA /KITENGO

VISIMA VIFUPI
VISIMA VIREFU
MABWAWA
CHEMCHEM
SKIMU ZA MAJI

183

30

5

8

5

FURSA ZILIZOPO KATIKA IDARA / KITENGO

  • Mabonde ya umwagiliaji.
  • Mito ya msimu 6

 

 

 

 

MAFANIKIO YA IDARA /KITENGO

  • Kupanuka kwa huduma ya maji kutoka chini ya asilimia tano ( 5%) mwaka 2005  mpaka 39% 2017 .
  • Kuongezeka kwa  idadi ya watumishi kwa idara ya maji kutoka sita mwaka 2005 mpaka 15   mwaka 2017
  • Kupandisha hadhi ya watumishi
  •  Hapakuwa na mhandisi  hata mmoja mwaka 2005 sasa kuna wahandisi wawili
  • Hapakuwa na fundisanifu mkuu hata mmoja  mwaka 2005 sasa kuna fundisanifu mkuu mmoja.
  • Hapakuwa na fundisanifu umeme  hata mmoja mwaka 2005 sasa kuna fundisanifu umeme  mmoja.
  • Watumishi waliosomeshwa na Halmashauri ni 4.
  •  

CHANGAMOTO

  • Ugumu wa upatikanaji wa maji ya chini ya ardhi kutokana na jiologia tata.
  • Upungufu wa watumishi .
  • Eneo kubwa mno la wilaya ambalo hupelekea kuwapo na ugumu wa usimamizi na uendeshaji wa miradi ya maji.
  • Kutokuwepo kwa nishati ya umeme katika miradi ya maji.

 

UFUMBUZI

  • Kutumia mito ya msimu  iliyopo kwa kujenga mabwawa na kujengwa mradi wa maji kutoka Ziwa Viktoria.
  • Kuongeza ajira ya watumishi ili kuziba mapungufu yaliyopo.
  • Kukagawa Wilaya katika maeno mawili ya kiutawala.
  • Kupeleka umeme wa REA katika miradi ya maji na  au kutumia nishati ya jua.

 

MATARAJIO

  • Kujenga mradi wa kusambaza maji kutoka  bwawa la Igumila katika kata ya kitunda na Kiloli.
  • Kuendelea kutoa mafunzo kwa vyombo vya watumia maji .
  • Kujenga mradi wa maji wa Ziwa Victoria.
  • Kuwa ajiri  watumishi kujaza nafasi zilizowazi.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • NG’OMBE ELFU HAMSINI WACHANJWA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU KWA BEI YA RUZUKU YA SH.500 HUKU KUKU ZAIDI YA LAKI NNE WAKICHANJWA BURE CHANJO YA KIDERI,NDUI NA MAFUA YA KUKU.

    August 29, 2025
  • USALAMA WA RAIA NA MALI ZAKE NI JUKUMU LETU SOTE WANANYAHUA

    August 26, 2025
  • WANAFUNZI 54 WAHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA ( MGAMBO) WILAYANI SIKONGE

    August 25, 2025
  • KAMATI YA WATAALAMU HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE IMEKAGUA MIRADI YA ELIMU NA AFYA KATIKA KATA ZA KITUNDA NA KILOLI ROBO YA NNE

    August 13, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa