• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

WAVUVI KUTOKA WILAYA ZA SIKONGE NA URAMBO MKOANI TABORA WASISITIZWA KUZINGATIA SHERIA , TARATI BU NA MIONGOZO INAYOSIMAMIA SEKTA YA UVUVI

Imewekwa: December 21st, 2025

Na Edigar Nkilabo,- Sikonge DC

Kutokana na  mgogoro wa  Wavuvi na Mwekezaji wa pori la hifadhi ya wanyamapori  Uyumbu, Wajumbe wa Kamati ya kutatua mgogoro kutoka wilaya za Sikonge na Urambo wamekutana wilayani Urambo kujadili na kupata jawabu la kudumu la mgogoro huo.

 Kikao hicho kimeongozwa na Wakuu wa wilaya za Urambo chini ya  Mhe.Dkt.Khamis Mkanachi na Mkuu wa wilaya ya Sikonge Mhe.Thomas Myinga , wajumbe wa kamati hiyo kutoka Halmashauri zote mbili za Urambo na Sikonge pamoja na baadhi ya Wataalamu wa maliasili kutoka wilaya hizo.

Kamati hiyo imejadiliana na kuhimiza kuwa ni lazima shughuli za uvuvi kufanyika  kwa kuzingatia sheria na taratibu ili kuwezesha uvuvi endelevu wenye manufaa kwa wavuvi na utunzaji wa mazingira kwa  kuzuia matumizi ya zana haramu za uvuvi zinazoathiri uvuvi wenye tija na endelevu.

Aidha kamati hiyo imeagiza taasisi zote zinazohusika na usimamizi wa rasilimali maji katika mto Walla zihakikishe zinafanya doria kwa kuzingatia sheria , kanuni na uadilifu ili kuzuia matumizi ya zana haramu za uvuvi pamoja na kutenga eneo kwa ajili ya mazalia ya samaki katika mto Walla na kuhimiza shughuli za uvuvi kufanyika kwa msimu mmoja ambao ni kuanzia mwezi Januari hadi Mei ili kuwa na uvuvi endelevu.

Sambamba na hayo, kamati imeagiza idadi ya wavuvi wanaopewa vibali izingatie uwezo wa eneo linalotumika kwa shughuli za uvuvi ili kuepuka migogoro isiyo ya lazima na mwekezaji wa hifadhi ya Wanyamapori Uyumbu pamoja na taasisi zingine za uhifadhi.Pia Wataalamu wamesisitizwa kuendelea kutoa elimu ya uvuvi bora ili kuendeleza ikolojia ya eneo hilo.

Kwa kuhitimisha kamati hiyo imeagiza maafisa wa doria kuandaa mpango kazi na kuwa waadilifu wakati wa kutekeleza majukumu yao na kutoa taarifa ya utekelezaji kwa Makatibu Tawala wa wilaya za Urambo na Sikonge.

Matangazo

  • TANGAZO LA FURSA ZA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE September 10, 2025
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • WAVUVI KUTOKA WILAYA ZA SIKONGE NA URAMBO MKOANI TABORA WASISITIZWA KUZINGATIA SHERIA , TARATI BU NA MIONGOZO INAYOSIMAMIA SEKTA YA UVUVI

    December 21, 2025
  • WANAFUNZI WA SIKONGE SEKONDARI KUANZA KUFUNDISHWA TEHAMA KWA VITENDO

    November 25, 2025
  • WANAFUNZI WA KIKE WILAYANI SIKONGE WAHIMIZWA KUSOMA MASOMO YA SAYANSI

    November 23, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE AHIMIZA UWAJIBIKAJI

    November 20, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa