• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

Kilimo, Umwagilaji na Ushirika

IDARA YA KILIMO, UMWAGILIAJI NA USHIRIKA

1. UTANGULIZI

  • Jina la Mkuuwa Idara:-HashimMilambo Kazoka
  • Namba ya simu ya mkuu wa Idara:+255682334126 / +255713 743 161
  • Barua pepe ya Idara:- daico@sikongedc.go.tz , kilimosikonge@yahoo.com

Iv :Idadiyawatumshi

WALIOPO
MAHITAJI
UPUNGUFU
86
108
22

2. Majukumuyaidara

  • Kutoaushauriwakitaalamukwawakulimajuuyauzalishajiwamazaoyachakula, biashara, mbogamboganamatunda (hudumazaugani). Hiiinajumuishauchaguziwamazaoyakulima, matumizisahihiyapembejeozakilimopamojanambinu bora zakuhifadhimazaoyakilimo. 
  • Kubainishamaeneoyanayofaakuvunamajiyamvuakwaajiliyakilimo cha umwagiliaji, kusimamiaujenziwamiundombinuyaumwagiliajipamojanakusimamiamatunzoyamiundombinuyaskimuzaumwagiliajiKutekelezamiongozombalimbaliinayotolewanawizarayakilimopamojanawizarazasektayakilimo
  • Kuratibunakusimamiavyamavyaushirikapamojanavyamavyakuwekanakukopa. Hiiinajumuishakukaguahesabuzavyama, kusimamiamwenendowamasokoyamazaokatikavyamavyaushirikapamojanakuhakikimalipoyawanaushirikavyamani. Pia kuhakikishakuwautekelezajiwasherianakanunizinazosimamiaushirikanchiniunafanyika.
  • Kushirikiananataasisizautafitikatikakutafutaufumbuziwamatatizombalimbaliyanayokabilisektayakilimo

3. TAKWIMU MUHIMU ZA IDARA

  • Hali yahewa.

Hali yahewakwaujumlaniyakitropikinahupatamvuakwamsimummojakwakiwango cha wastaniwa mm 650-750.Kiwango cha jotonikatiya 220C-320Cnakiwangokikubwa cha jotohuwakatiyamweziAugosthadiOctobakamblayamvuakuanzakunyesha. Hali yaudogokatikamaeneomenginikichanganaundogowatfitifunamfinyazihupatiakankatikabaadhiyamaeneo.

  • Uzalishaji

Wilayainajumlayakilomitazamraba1,404.65 sawanahekta 140,465 zinazofaakwakilimoambaponihekta 70,919 ndizozinazolimwakwasasa.MazaomakuuyachakulaniMahindi,Mpunga,ViazivitamunamhogonamazaomakuuyabiasharaniTumbaku,Karanga,Alizetinakwasasazao la Korosholipokatikahatuazaawalizauzalishwaji.Wilayainaidadiya kaya 29,980, ambapokatiyahizo, kaya zawakulimani 21,800 zikiwanawakulimazaidiya 65,000.Uzalishajitijakwamazaoyachakulabadonimdogokamainavyooneknakwenyejedwalihapachini.

  •  
  • Uzalishajitijakwamazaoyanayolimwawilayani Sikonge
ZAO
Mahindi
Mpunga
Viazivitamu
Mhogo
Tumbaku
Karanga
Alizeti
UzalishajiTija (Tani/ha)
0.8-1.5
2-5
2-5
1.5- 4
1-1.6
0.9 -1.4
0.5 -1

 

SektayaUshirika

Halmashauriyawilayaya Sikonge inavyamavyaushirikavilivyoandikishwavipatavyo 82 navyovipokatikamakundi 5 kana inayonekanakatikajedwalihapachini.

  • Na.
  • Ainaya Chama
  • Hai
  • Sinzia
  • 1
  • VyamavyaMazao
  • 32
  • 14
  • 2
  • Akibanamikopo
  • 12
  • 13
  • 3
  • Ufugajinyuki
  • 4
  • 5
  • 4
  • Ufugajisamaki
  • 0
  • 1
  • 5
  • Umwagiliaji
  • 1
  • 0
  •  
  • Total
  • 49
  • 33

 

Miradiyakilimoiliyopo

Idara pia inasimamiamiradimbalimbaliyakilimochiniyampangowakuedelezasektayakilimowilayani DADPS, ambapomiradihiyoimekuwaikiwanufainshawananchi.Jedwalilifuatalolinaoneshabaadhiyamiradihiyoambayoimekuwaikitekelezwatangu 1998 chiniya program za DADPs,/ASDP/PADEP

Ainayamradi
Idadi
Mahaliulipo
Umwagiliaji
2
TumbilinaKisanga
Maghala
10
Kisanga,Lufwisi,Tumbili,Usesula,Usanganya,Lembeli,Kan-yamsenga,Pangale,Ukandamoyo,Urafiki
Mashinezakusindikaza la mpunga
3
KisangaLufwisinaTumbili
Mashinezakusondikamazoyamafuta
4
Ukandamoyo,Majojoro,KiyombonaMgambo

4. FURSA ZILIZOPO

  • Uwepowaeneokubwalinafaakwakilimolenyeukubwazaidiyahekta 140,465
  • Uwepowawatumishiwakutoshakwaajiliyakutoahudumazaugani
  • Uwepowahektazaidiya 700 zinazofaakwakilimo cha umwagiliaji
  • Uwepowaskimukubwazaumwagiliaji
  • Uwepowabarabarakatikavijijivyote
  • Uwepowawauzajipembejeozakilimo
  • UwepobarabarakuuinayounganishamikoayajiaraniyaKataviSingidana Mbeya.

 

5. MAFANIKIO YA IARADARA

  • Kusimamiakwakufuatamisingi bora yautoajihudumazauganinchini
  • Kuogezatijakatikauzalishajiwamazaohasazao la mpungakutoka 0.8 -5 tani/ha nazao la tumbakukuto 1-1.5tan/ha
  • Ongezeko la eneo la umwagiliaji
  • Kubadilikakwawakulimakutokakulimakilimo cha kujikimukuwa cha Kibiashara
  • Kuongezekakwaelimuyausindikajimazaonahivyokuyaongezeamazaothamani
  • Kushirikimaoneshoyasherehezawakulimanakupataushindi
  • Kusimamiamiradimikubwanakuletamafanikiokwenyejamii
  • Kuongezekakwawakulimawanaolimamazaoyabustani
  • Kufufakwavyamasinziavipatavyo 6
  • Kulipawakulimakwawakati
  • Kupunguakwautoroshajiwazao la tumbaku

 

6. CHANGAMOTO

  • Mabadilikoyahaliyahewa
  • Ukosefuwavitendeakazihasavyombovyausafiri
  • Bajetifinyukwaajiliyamiradiyakilimo
  • Ukosefuwanyumbazawatumishihasangaziya kata navijiji
  • Upungufuwawatumishikatikasektayaushirika

 

 

7.UFUMBUZI

  • Kufanyakilimo cha umwagiliajikuwakipaumbeleilikukabilianachangamotoyaukosefuwamvua
  • Kufanyakilimokinachohimilimabadilikoyahalihewa (Climate smart agriculture)
  • Kupunguzabeiyapembejeozakilimohasamboleakwawakulima
  • Kuwanasoko la uhakikakwamzaoyabiasharapamojanamazaomchanganyiko
  • Kuongezathamaniyamazaonabidhaazakeiliyawezekupatabeikubwayenyetijakwamkulima.
  • Kuwekamazingarana sera nzuriilikuvutiakuvutiawawekezaji
  • Kutenga  25% yaushuruwamazaoilikuvisaidiavyamavisivyokopesheka
  • Kuzingatiamikatayaununuziwatumbaku
  • Kufanyikakwaukaguziwamarakwamarakwenyevyamavyamsingi
  • Kuajiriwatumishiwapatoa 5 katkasektayaushirika

8. MATARAJIO

  • Kuongezauzalishajitijakwamazaoyote
  • Kuendeleakutoahudumazauganizinazokidhimatakwayawakulima
  • Kuendeleakubadilishawakulimakutolimakilimo cha kujikimunabadalayakekufanyakilimobiasharanahivyokuongezatijakwawakulima.
  • Kuongezauzalishajiwamazaohasayabiasharailikuongezawigowakupatamalighafikwaviwandandaninanjeyayawilaya
  • Kulifanyazao la Koroshokuwamojawapoyazaokuula biaharakwawakulima
  • Kuendeleakushirikiananawadaumbalimbaliwakilimopamojanataasisizakiserikalinazisozozakiserikalikatikakuletamiradiyakilimo.
  • Kuvifufuavyamavyotesinziakatikawilayaya Sikonge
  • Kutoaelimuyauhasibunafedhakwawatendajiwotewavyamavyaushrikavyamsingi
  • Kuhakikishaviongoziwavyamavyaushirikawanajengewauwezowakiuongozi
  • Kudhibitiutoroshajiwatumbakukwavyamsingikwa 100%

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YA WILAYA YA SIKONGE YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOPENDEKEZWA KUPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 13, 2025
  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa