• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

Kilimo, Umwagilaji na Ushirika

IDARA YA KILIMO, UMWAGILIAJI NA USHIRIKA

1. UTANGULIZI

  • Jina la Mkuuwa Idara:-HashimMilambo Kazoka
  • Namba ya simu ya mkuu wa Idara:+255682334126 / +255713 743 161
  • Barua pepe ya Idara:- daico@sikongedc.go.tz , kilimosikonge@yahoo.com

Iv :Idadiyawatumshi

WALIOPO
MAHITAJI
UPUNGUFU
86
108
22

2. Majukumuyaidara

  • Kutoaushauriwakitaalamukwawakulimajuuyauzalishajiwamazaoyachakula, biashara, mbogamboganamatunda (hudumazaugani). Hiiinajumuishauchaguziwamazaoyakulima, matumizisahihiyapembejeozakilimopamojanambinu bora zakuhifadhimazaoyakilimo. 
  • Kubainishamaeneoyanayofaakuvunamajiyamvuakwaajiliyakilimo cha umwagiliaji, kusimamiaujenziwamiundombinuyaumwagiliajipamojanakusimamiamatunzoyamiundombinuyaskimuzaumwagiliajiKutekelezamiongozombalimbaliinayotolewanawizarayakilimopamojanawizarazasektayakilimo
  • Kuratibunakusimamiavyamavyaushirikapamojanavyamavyakuwekanakukopa. Hiiinajumuishakukaguahesabuzavyama, kusimamiamwenendowamasokoyamazaokatikavyamavyaushirikapamojanakuhakikimalipoyawanaushirikavyamani. Pia kuhakikishakuwautekelezajiwasherianakanunizinazosimamiaushirikanchiniunafanyika.
  • Kushirikiananataasisizautafitikatikakutafutaufumbuziwamatatizombalimbaliyanayokabilisektayakilimo

3. TAKWIMU MUHIMU ZA IDARA

  • Hali yahewa.

Hali yahewakwaujumlaniyakitropikinahupatamvuakwamsimummojakwakiwango cha wastaniwa mm 650-750.Kiwango cha jotonikatiya 220C-320Cnakiwangokikubwa cha jotohuwakatiyamweziAugosthadiOctobakamblayamvuakuanzakunyesha. Hali yaudogokatikamaeneomenginikichanganaundogowatfitifunamfinyazihupatiakankatikabaadhiyamaeneo.

  • Uzalishaji

Wilayainajumlayakilomitazamraba1,404.65 sawanahekta 140,465 zinazofaakwakilimoambaponihekta 70,919 ndizozinazolimwakwasasa.MazaomakuuyachakulaniMahindi,Mpunga,ViazivitamunamhogonamazaomakuuyabiasharaniTumbaku,Karanga,Alizetinakwasasazao la Korosholipokatikahatuazaawalizauzalishwaji.Wilayainaidadiya kaya 29,980, ambapokatiyahizo, kaya zawakulimani 21,800 zikiwanawakulimazaidiya 65,000.Uzalishajitijakwamazaoyachakulabadonimdogokamainavyooneknakwenyejedwalihapachini.

  •  
  • Uzalishajitijakwamazaoyanayolimwawilayani Sikonge
ZAO
Mahindi
Mpunga
Viazivitamu
Mhogo
Tumbaku
Karanga
Alizeti
UzalishajiTija (Tani/ha)
0.8-1.5
2-5
2-5
1.5- 4
1-1.6
0.9 -1.4
0.5 -1

 

SektayaUshirika

Halmashauriyawilayaya Sikonge inavyamavyaushirikavilivyoandikishwavipatavyo 82 navyovipokatikamakundi 5 kana inayonekanakatikajedwalihapachini.

  • Na.
  • Ainaya Chama
  • Hai
  • Sinzia
  • 1
  • VyamavyaMazao
  • 32
  • 14
  • 2
  • Akibanamikopo
  • 12
  • 13
  • 3
  • Ufugajinyuki
  • 4
  • 5
  • 4
  • Ufugajisamaki
  • 0
  • 1
  • 5
  • Umwagiliaji
  • 1
  • 0
  •  
  • Total
  • 49
  • 33

 

Miradiyakilimoiliyopo

Idara pia inasimamiamiradimbalimbaliyakilimochiniyampangowakuedelezasektayakilimowilayani DADPS, ambapomiradihiyoimekuwaikiwanufainshawananchi.Jedwalilifuatalolinaoneshabaadhiyamiradihiyoambayoimekuwaikitekelezwatangu 1998 chiniya program za DADPs,/ASDP/PADEP

Ainayamradi
Idadi
Mahaliulipo
Umwagiliaji
2
TumbilinaKisanga
Maghala
10
Kisanga,Lufwisi,Tumbili,Usesula,Usanganya,Lembeli,Kan-yamsenga,Pangale,Ukandamoyo,Urafiki
Mashinezakusindikaza la mpunga
3
KisangaLufwisinaTumbili
Mashinezakusondikamazoyamafuta
4
Ukandamoyo,Majojoro,KiyombonaMgambo

4. FURSA ZILIZOPO

  • Uwepowaeneokubwalinafaakwakilimolenyeukubwazaidiyahekta 140,465
  • Uwepowawatumishiwakutoshakwaajiliyakutoahudumazaugani
  • Uwepowahektazaidiya 700 zinazofaakwakilimo cha umwagiliaji
  • Uwepowaskimukubwazaumwagiliaji
  • Uwepowabarabarakatikavijijivyote
  • Uwepowawauzajipembejeozakilimo
  • UwepobarabarakuuinayounganishamikoayajiaraniyaKataviSingidana Mbeya.

 

5. MAFANIKIO YA IARADARA

  • Kusimamiakwakufuatamisingi bora yautoajihudumazauganinchini
  • Kuogezatijakatikauzalishajiwamazaohasazao la mpungakutoka 0.8 -5 tani/ha nazao la tumbakukuto 1-1.5tan/ha
  • Ongezeko la eneo la umwagiliaji
  • Kubadilikakwawakulimakutokakulimakilimo cha kujikimukuwa cha Kibiashara
  • Kuongezekakwaelimuyausindikajimazaonahivyokuyaongezeamazaothamani
  • Kushirikimaoneshoyasherehezawakulimanakupataushindi
  • Kusimamiamiradimikubwanakuletamafanikiokwenyejamii
  • Kuongezekakwawakulimawanaolimamazaoyabustani
  • Kufufakwavyamasinziavipatavyo 6
  • Kulipawakulimakwawakati
  • Kupunguakwautoroshajiwazao la tumbaku

 

6. CHANGAMOTO

  • Mabadilikoyahaliyahewa
  • Ukosefuwavitendeakazihasavyombovyausafiri
  • Bajetifinyukwaajiliyamiradiyakilimo
  • Ukosefuwanyumbazawatumishihasangaziya kata navijiji
  • Upungufuwawatumishikatikasektayaushirika

 

 

7.UFUMBUZI

  • Kufanyakilimo cha umwagiliajikuwakipaumbeleilikukabilianachangamotoyaukosefuwamvua
  • Kufanyakilimokinachohimilimabadilikoyahalihewa (Climate smart agriculture)
  • Kupunguzabeiyapembejeozakilimohasamboleakwawakulima
  • Kuwanasoko la uhakikakwamzaoyabiasharapamojanamazaomchanganyiko
  • Kuongezathamaniyamazaonabidhaazakeiliyawezekupatabeikubwayenyetijakwamkulima.
  • Kuwekamazingarana sera nzuriilikuvutiakuvutiawawekezaji
  • Kutenga  25% yaushuruwamazaoilikuvisaidiavyamavisivyokopesheka
  • Kuzingatiamikatayaununuziwatumbaku
  • Kufanyikakwaukaguziwamarakwamarakwenyevyamavyamsingi
  • Kuajiriwatumishiwapatoa 5 katkasektayaushirika

8. MATARAJIO

  • Kuongezauzalishajitijakwamazaoyote
  • Kuendeleakutoahudumazauganizinazokidhimatakwayawakulima
  • Kuendeleakubadilishawakulimakutolimakilimo cha kujikimunabadalayakekufanyakilimobiasharanahivyokuongezatijakwawakulima.
  • Kuongezauzalishajiwamazaohasayabiasharailikuongezawigowakupatamalighafikwaviwandandaninanjeyayawilaya
  • Kulifanyazao la Koroshokuwamojawapoyazaokuula biaharakwawakulima
  • Kuendeleakushirikiananawadaumbalimbaliwakilimopamojanataasisizakiserikalinazisozozakiserikalikatikakuletamiradiyakilimo.
  • Kuvifufuavyamavyotesinziakatikawilayaya Sikonge
  • Kutoaelimuyauhasibunafedhakwawatendajiwotewavyamavyaushrikavyamsingi
  • Kuhakikishaviongoziwavyamavyaushirikawanajengewauwezowakiuongozi
  • Kudhibitiutoroshajiwatumbakukwavyamsingikwa 100%

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • NG’OMBE ELFU HAMSINI WACHANJWA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU KWA BEI YA RUZUKU YA SH.500 HUKU KUKU ZAIDI YA LAKI NNE WAKICHANJWA BURE CHANJO YA KIDERI,NDUI NA MAFUA YA KUKU.

    August 29, 2025
  • USALAMA WA RAIA NA MALI ZAKE NI JUKUMU LETU SOTE WANANYAHUA

    August 26, 2025
  • WANAFUNZI 54 WAHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA ( MGAMBO) WILAYANI SIKONGE

    August 25, 2025
  • KAMATI YA WATAALAMU HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE IMEKAGUA MIRADI YA ELIMU NA AFYA KATIKA KATA ZA KITUNDA NA KILOLI ROBO YA NNE

    August 13, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa