• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

Maendeleo ya Jamii

Utangulizi

Jina la Mkuu wa Idara: Tito Elias Luchagula

Namba ya simu: 0745 517798

Email: luchagula.titus@gmail.com

           dcdo@sikongedc.go.tz

Idara ya Maendeleo ya Jamii inajumla ya watumishi 13 Mahitaji ni 27 na upungufu ni watumishi 14.

Majukumu ya Idara ya Maendeleo ya Jamii

  • Kuhamasisha  wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo kikamilifu na kuratibu kazi za kujitegemea
  • Uanzisha ji wa magulio na senta za vijiji ili kuongeza vipato kwa wananchi na kukuza uchumi ili kupunguza umaskini
  • Kuhimiza ujenzi wa nyumba bora Vijijini
  • Kuelimisha wajasiriamali wadogo juu ya uanzishaji wa miradi midogo midogo  ya kiuchumi
  • Kusimamia uundwaji wa vikundi vya kijasiriamali vya wanawake na Vijana na utoaji wa mikopo
  • Uratibu wa mashirika yasiyo ya kiserikali
  • Uratibu wa shughuli za Ukimwi

Takwimu muhimu za Idara

i)Idadi ya vikundi na kiasi cha mkopo kilichotolewa

Sn
Mwaka
Idadi ya vikundi
Kiasi kwa mwaka
1
2014/2015
12
8000,000/=
2
2015/2016
36
33,500,000/=
3
2016/2017
119
121,000,000/=
4
2017/2018
104
138,000,000/=

 

 

ii)Idadi ya Asasi Zisizo za Kiserikali: 

                             IDADI
NGO’s
CBO’s
FBO’s
JUMLA
3
48
2
53

                    iii) Maambukizi ya virusi ya Ukimwi

Mwaka
Idadi ya waliopima
Waliokutwa na maambukizi
Asilimia
2015
19,939
843
4.2
2016
33,603
1057
3.1
Hadi Juni 2017
18,237
493
2.7

Mafanikio

Elimu ya ujasiriamali ilitolewa kwa wanawake na Vijana wapatao 835 Mwaka 2014 hadi 2017

 Kutolewa kwa mikopo yenye riba nafuu kwa vikundi vya ujasiliamali vya wanawake  na Vijana.

Kuongezeka kwa vikundi vya  Vikoba kutoka  34 hadi Kufikia vikundi 90  kutoka mwaka 2014 hadi 2017

Jamii kupata uelewa juu ya Ukweli kuhusu ukimwi na hivyo kujitokeza kupima afya kwa hiari


Changamoto:

Upungufu wa wataalamu wa Maendeleo ya Jamii katika ngazi ya Kata na Vijiji.

Uhaba wa vitendea kazi  kama usafiri, Ofisi na samani.

Ufinyu wa Bajeti  unaopelekea kutotekeleza baadhi ya shuguli muhimu na kutowafikia walengwa wote.

Mwamko mdogo  wa Vijana  na Wanawake  kuanzisha  shughuli za uchumi na kujiwekea akiba.

Imani za kishirikina zinazozuia  watu kujenga Nyumba bora.

Watu kutopenda kazi za kujitolea.

Mila na desturi zenye madhara katika jamii zinazopelekea maambukizi ya VVU.

Unyanyapaa na ubaguzi kwa watu wanaoishi na VVU  ambao unakwamisha watu kutokujitokeza kupima afya na hivyo kukwamisha juhudi za mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI

Baadhi ya Vikundi  kutokurejesha mkopo kwa wakati kulingana na muda wa mkataba.

Baadhi ya wanajamii kuwaficha majumbani  watu wenye ulemavu

Ufumbuzi

  • Halmashauri imeendelea kuongeza bajeti mwaka hadi mwaka kulingana na makusanyo ya Halmashauri.
  • Halmashauri imeendelea kuwashauri vijana waliozidi umri wa miaka 30 kujiunga na kuanzisha vikundi vingine vya uzalishaji mali kama Vicoba.
  •  

 

Matarajiio

Kuhamasisha kuanzisha vikundi vya Vikoba katika vijiji, kaya na watumishi kutoka 90 hadi kufikia vikundi 100 Mwaka 2017.

Halmashauri kuendelea kutoa asilimia 10 za kusaidia mifuko ya Wanawake na Vijana.

Kutoa Elimu kwa wakopaji juu ya urejeshaji wa Mikopo na Elimu juu ya faida zitokanazo na Mikopo.

Halmashauri kuajili  Maafisa  Maendeleo ya Jamii wakutosha  katika  Kata na Vijiji.

Halmashauri kununua  Vitendea kazi vya kutosha na kujenga ofisi.

Halmashauri na Serikali  kuu kutenga Fedha za kutosha  kwa Watumishi wa Maendeleo ya Jamii.

Kutoa Elimu kwa wakopaji juu ya urejeshaji wa Mikopo na Elimu juu ya faida zitokanazo na Mikopo.

Kusimamia sheria zinazowabana waliokopa kurejesha kwa wakati.

Kuongeza uhamasishaji jamii kutumia vipato vyao kujijengea nyumba bora.

Halmashauri kuendelea kutenga fedha za mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YA WILAYA YA SIKONGE YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOPENDEKEZWA KUPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 13, 2025
  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa