• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

WASITISHIWA MKATABA

Imewekwa: June 13th, 2019

WASITISHIWA MKATABA UJENZI HOSPITAL YA WILAYA SIKONGE

Kuu ya Wilaya ya Sikonge yafanya maamuzi ya kuondoa mkataba kwa mafundi waliokabidhiwa jengo la Utawala na jengo la wagonjwa wa nje (OPD).

Maamuzi hayo yalitolewa baada ya Mafundi hao kufanya kazi kwa kusuasua huku  sababu moja wapo ikiwa ni ucheleweshwaji wa kukabidhi kazi kwa wakati huku kukiwa na tuhuma mbalimbali za uharibifu wa vifaa vya ujenzi  huku kukiwa na kutoelewana kati ya mafundi hao jambo lililopelekea migomo ya hapa na pale na kuchangia kazi kutoenda kwa wakati.

Akitoa maamuzi hayo Mkuu wa wilaya ya Sikonge Mhe. Peres Magiri alisema kuwa Jofrey  Msemwa wa jengo la wagonjwa wa nje na Ally Ajji wa jengo Utawala  hawataongezwa mkataba mwingine kwani wameshindwa kufanya kazi ilivyotakiwa,  5 hivyo basi nafasi hizo zipo wazi na mafundi wenye uwezo wanashauriwa kuomba kujaza nafasi hizo mara utaratibu utakapotangazwa.

Pamoja na maamuzi hayo mafundi waliositishiwa mkataba watalipwa stahiki zao kulingana na kazi waliyoifanya. Na endapo kuna uharibifu wowote uliofanya pesa zitakatwa ili kufidia mapungufu hayo.

“hatutokubali fundi unapewa kazi tena ya serikali alafu unafanya kazi kwa kiwango cha chini, ni kwanini msiwe na huruma kwa watanzania tunaotegemea kuyatumia majengo haya” alisema Mkuu wa Wilaya.

Sanjari na hayo pia walitoa onyo kwa Fundi wa jengo la mama na mtoto kujitahidi kuendana na muda na kuhakikisha kuwa wanakabidhi majengo hayo mwisho wa mwezi wa sita ama sivyo hatua zitaendelewa kuchukuliwa ikiwemo kupatiwa fundi ne wenye uwezo wa kufanya kazi hiyo.

Jengo la wagonjwa wa nje OPD likiwa katika hatua ya upauaji.

Akitoa ufafanuzi wa kisheria bwana Pascal Kapinga ambaye ni Mwanasheria wa Halmashauri alisema kuwa Wilaya haijasitisha  mikataba kwa mafundi hao isipokuwa kilichofanyika ni kutowaongeza muda wa mkataba mwingine kwani mkataba wao wa mwanzo ulikuwa umeisha tokea mwezi wa tano 5.

Naye Mkurugenzi Mtendaji (W) Martha Luleka aliongezea kuwa mafundi hao wasichukulie jambo hilo kwa mawazo hasi kwani Wilaya imejaribu kuwavumilia kwa muda mrefu ikiwemo kukaa pamoja na kuwashauri kuandaa mpango kazi lakini mara zote hawakufata ushauri uliotolewa . Hivyo alishauri wakati mwingine watakapopewa kazi wafanye vizuri.

Ikumbukwe kuwa Wilaya ya Sikonge ilipokea kiasi cha Tsh. Bilioni moja na moilioni mia tano kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya Wilaya ambapo kwa hatua za awali kuwejengwa  majengo saba  na hatua ya ujenzi imefikia kwenye upigwaji lipu kwa baadhi ya majengo na majengo mengine yanaendelea na hatua za upauaji huku ikitegemewa kukabidhiwa mwishoni mwa mwezi wa Sita.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa