• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

KAMATI YA USALAMA YA WILAYA YAKAGUA MIRADI YA ELIMU NA AFYA TARAFA YA KIWERE

Imewekwa: November 17th, 2025


Na Edigar  Nkilabo – Sikonge DC


Kamati ya Usalama ya wilaya ya Sikonge leo tarehe 17 Novemba,2025 imefanya ziara ya kukagua miradi ya elimu na afya inayotekelezwa katika kata za Kitunda na Kiloli zilizopo tarafa ya Kiwere wilayani Sikonge.

Ziara hiyo ikiongozwa na Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya Bi.Rozina Swai ambapo ameeleza kuwa kamati ya usalama imeridhishwa na kasi ya ujenzi wa miradi iliyotembelewa ikiwemo mradi wa ujenzi wa shule shikizi Kona Nne (04) iliyopo kijiji cha Kapumpa kata ya Kitunda mradi ambao unaojumuisha Madarsa manne,Ofisi mbili na matundu manne ya vyoo ambapo imegharimu shilingi milioni 75.

“Niwapongeze kwa usimamizi mzuri wa mradi huu kwa kuwa tayari umekamilika watoto wetu wataanza kutumia madarasa haya na kuepuka kutembea umbali mrefu kwenda shule mama ya Kapumpa lakini pia naamini hata idadi ya wanafunzi itaongezeka na utoro ndiyo basi tena”alisema Bi.Rozina Swai.

Aidha Bi.Swai amempongeza Mkurugenzi Mtendaji Ndg.Selemani Pandawe na Menejimenti ya Halmashauri kwa ubunifu na mawazo ya kubadili mradi wa ujenzi wa  Zahanati na kuamua mradi huo uwe wa wodi ya wanaume na wanawake kufuatia ufadhili wa Wadau wa maendeleo kutoka Jakaya Mrisho Kikwete Foundation ambao wameamua kujenga Zahanati na Nyumba za Watumishi.

Kwaupande wake Mkurugenzi Mtendaji Ndg.Selemani Pandawe amesema lengo la kubadili mradi huo na kujenga wodi ni kuepuka uwepo wa miradi miwili inayofanana na badala yake Halmashauri imeamua kuweka wodi ikiwa ni maandalizi ya kuweka Kituo cha Afya cha Kata ya Kiloli kwa kuwa kata hiyo haina kituo cha afya.

“Ni sera ya serikali kila kijiji kuwa na Zahanati na kila kata kuwa na Kituo cha AFya hivyo baada ya kukamilika kwa ujenzi wa wodi, nyumba ya watumishi na jengo la Zahanati itakuwa rahisi kuifanya kituo cha afya na kuongeza wigo wa utoaji huduma kwa wananchi”alisema.

Kamati ya Usalama imekagua Jumla ya miradi mitatu ikiwemo miwili ya elimu ya ujenzi wa shule shikizi Kona Nne iliyopo kata ya kitunda, Shule shikizi kona Moja iliyopo kata ya Kiloli na Zahanati ya Ipembe iliyopo Kiloli.

Matangazo

  • TANGAZO LA FURSA ZA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE September 10, 2025
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WA KIKE WILAYANI SIKONGE WAHIMIZWA KUSOMA MASOMO YA SAYANSI

    November 23, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE AHIMIZA UWAJIBIKAJI

    November 20, 2025
  • KAMATI YA USALAMA YA WILAYA YAKAGUA MIRADI YA ELIMU NA AFYA TARAFA YA KIWERE

    November 17, 2025
  • WAKUU WA DIVISHENI, VITENGO NA MAAFISA BAJETI WATAKIWA KUZINGATIA MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI WAKATI WA UANDAAJI WA BAJETI.

    November 13, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa