• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

WAPENI WANANCHI WAGOMBEA WA CCM WANAOCHAGULIKA: NDG. MAGANYA

Imewekwa: September 21st, 2024

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Fadhil Rajabu Maganya, amefanya ziara ya kikazi wilayani Sikonge kwa lengo la kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM na kuzungumza na wanachama wa chama hicho.

Akiwa katika ziara hiyo, Ndugu Maganya amekagua miradi mbalimbali ya maendeleo, ikiwemo ujenzi wa Chuo cha VETA Sikonge, ambacho kinajengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 3, na ujenzi huo umefikia asilimia 35. Alitembelea pia mradi wa bwawa la maji la Igumila, lililopo kijiji cha Kapumpa, ambalo linajengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 6.1, na ujenzi huo umefikia asilimia 85. Bwawa hili linatarajiwa kuhudumia vijiji sita na kunufaisha watu 45,000.

Pia, Ndugu Maganya amekagua ujenzi wa vyumba 8 vya madarasa na matundu 12 ya vyoo katika Shule ya Sekondari Kiwere, mradi ulioigharimu shilingi milioni 234, ambao umefikia hatua ya ukamilifu.

Katika mkutano wake na wananchi wa Kata ya Kitunda,Kijiji cha Lukula, Mwenyekiti Maganya amesisitiza umuhimu wa kila mtendaji wa serikali kutimiza wajibu wake ipasavyo, bila kusubiri malalamiko ya wananchi kufikia viongozi wakuu. Ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika tarehe 27 Novemba 2024. “Uchaguzi huu ni huru, na vyama mbalimbali vya siasa vitasimamisha wagombea. Chama Cha Mapinduzi kimeelekeza kuwa wagombea wanaopaswa kusimamishwa ni wale wenye sifa,” alifafanua Ndg. Maganya.

Ziara hii ni sehemu ya juhudi za Serikali inayoongozwa na Chama Cha Mapinduzi kuhakikisha maendeleo yanatekelezwa kwa ufanisi na kuwahamasisha wananchi kushiriki Uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa