• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

WANAOKWAMISHA UJENZI KUVUNJIWA MKATABA.

Imewekwa: April 29th, 2019

WANAOKWAMISHA UJENZI KUVUNJIWA MKATABA

Mkurugenzi Mtendaji Bi. Martha Luleka akiambatana na Wakuu wa Idara watembelea ujenzi wa hospitali ya Wilaya ya Sikonge ili kutathimini changamoto mbali mbali zinazokwamisha mradi huo kutoenda na muda.

Wakiwa kwenye jengo la mama na mtoto walibaini upungufu mkubwa wa nguvu kazi ,ambapo idadi ndogo ya watenda kazi ikiwemo mafundi na vibarua ambao walikuwa hawawezi kuendana na kasi iliyotakiwa.

Wakizungumza na fundi msimamizi  walitoa ushauri kwa injinia Erasto Apronex Mtewa aliyepewa mkataba wa jengo hilo kuwa ahakikishe ameongeza idadi ya watenda kazi ikiwemo kuhakikisha ujenzi unakamilika  kwa wakati huku akionywa kutotoa visingiziokuwa vifaa vinachelewa.

Akitaja sababu za kuchelewesha kazi Apronex alidai kuwa vifaa vya ujenzi havifiki kwa wakati huku akitaja mawe na matofali kuwa vinamkwamisha ambapo wajumbe walitoa onyo kuwa waache kutoa visingizio kwani vifaa wanavyodai kucheleweshewa bado wanavyo katika eneo lao la ujenzi na vingi vikiwa havijatumika hivyo basi wanachotakiwa kufanya ni kuhakikisha kazi inafanya na kuzingatia ushauri uliotolewa kwa kuufanyia kazi.

Ikumbukwe kuwa siku chache zilizopita Mkurugenzi Bi. Martha alipokuwa akikagua mradi huo alizungumza na bwana Erasto na kutoa maagizo ya kuongeza nguvu kazi ili kukamilisha kazi kwa wakati lakini hadi wajumbe wanafika eneo la mradi bado hali iliendelea kuwa vile vile. Jambo linalodhihilisha kuwa kinachokwamisha kazi hiyo ni fundi mwenyewe na sio swala la vifaa.

Wakitoa maelekezo kwa mainjinia wote waliokabidhiwa mradi wa ujenzi huo, wakuu wa Idara walisema kuwa kila fundi anatakiwa kuwasilisha mpango kazi wake ambao utabainishasiku hatua zote za ujenzi na muda utakaotumika ambapo ndani ya mpango huo ni vyema ukazingatia muda uliopangwa kukamilisha majengo hayo.

Mkurugenzi pamoja na wakuu wakuu wa idara wakisiliza maelekezo kwa fundi kwenye jengo la Madawa.

Sanjari na hayo walisisitizia kuwa injinia yeyote ambaye ataonesha kukwamisha kazi kuendana na muda atachukuliwa hatua ikiwemo kusitishwa kwa mkataba alioingia na Halmashauri ya Sikonge.

Sikonge ni miongoni mwa Wilaya zilizopata pesa kutoka Serikali kuu kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ambapo Halmashauri ya Sikonge ikikabidhiwa jumla ya Tsh. Bil 1.5 kwa ajili ya ujenzi wa majengo saba ya awali na hatua za ujenzi zinaendelea huku baadhi ya majengo yakiwa kwenye hatua nzuri wakati majengo mengine ikiwemo jengo la mapokezi na wodi ya mama na mtoto yakiwa katika hatua za awali.


IMEANDALIWA NA KITENGO CHA TEHAMA SIKONGE

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa