• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

WALIMU WILAYANI SIKONGE WAPEWA MAFUNZO

Imewekwa: December 14th, 2018


WALIMU WILAYANI SIKONGE WAPEWA MAFUNZO.

Walimu wa shule za msingi wilayani Sikonge wamepewa mafunzo mahalumu ya usajili wa wanafunzi kupitia mfumo wa( EQUIP) iliyoboreshwa.

Mafunzo hayo haayo yalitolewa na wawezeshaji kutoka OR TAMISEMI yalifanyika katika shule ya msingi Sikonge. Lengo likiwa ni kuisaidia serikali kupitia wizara ya elimu kupata raarifa sahii juu ya maendeleo ya wanafunzi na walimu husika katika kila shule.

Mafunzo hayo yatawawezesha walimu  wakuu kupata weredi namna ya kujaza taarifa za mwanafunzi na mwalimu wake katika kila somo husika. Pia kupata maendeleo ya shule zote zilizounganishwa katika mpango maalumu. Hivyo kutoa takwimu sahihi kwa TAMISEMI.

HABARI PICHA



Wajumbe wakisikiliza kwa makini maelekezo.

Akitolea ufafanuzi kiongozi wa wawezeshaji kutoka TAMISEMI Bwana Sweetbeth Kashaija alisema kuwa  ‘ hatua hii ni namna ambayo mwalimu mkuu atakavyotumia hizi takwimu katika kusimamia na kuendesha shule yake’’ pia aliongeza ‘’ mafunzo yamekuwa ya ufanisi mkubwa ukitegemea na awali ambapo kwa sasa walimu wakuu wote wameweza kuingiza taarifa  na shule zote 95 zilizopo katika halimashauri ya wilaya ya sikonge zimeweza kutuma taarifa kwenye seva ya TAMISEMI na tunaimani namna walivyoshiriki na  changamoto zote tumezitatua’’.

Akielezea miongoni mwa changamoto zilizokuwa zikiwakabili walimu  wakuu wa shule ni pamoja na maharifa haba wa namna ya kutumia mfumo huo swala ambalo limetatuliwa na walimu wamepewa nyenzo zitakazowasaidia hata kama itatokea mwalimu mgeni akaletwa katika shule, mwongozo ule utawasaidia.

Vilevile mwalimu mkuu wa shule ya msingi  ndugu Dickison  Alfredy alisema kuwa ‘’ sisi kama wakuu wa shule mfumo huu utatusaidia kutuma taharifa zetu kwa usahihi na kuzifikisha taarifa mahali husika.’’ Kauli hii iliungwa mkono na wajumbe wa mafunzo hayo na kuahidi kuutumia ujuzi waliopewa kufanikisha zoezi hili.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa