• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

SIKONGE YATOA TUZO

Imewekwa: August 16th, 2019

SIKONGE YATOA TUZO KWA KATA KINARA WA MAPATO 2018/2019

Na EVELINA ODEMBA

Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge yatoa Tuzo kwa Watendaji wa Kata zilizofanya  vizuri katika ukusanyaji wa mapato kwa mwaka wa fedha 2018/2019.

Tuzo hizo zilizoandaliwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Bi. Martha Luleka, ikiwa ni mara ya kwanza kwa jambo hili kufanyika Wilayani hapa zilikabidhiwa kwa vinara wa Kata hizo na mgeni rasmi ambaye  ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora Mhe. Musalika Robert Makungu.

Muandaaji wa Tuzo hizo Bi. Martha alieleza kuwa licha ya jambo hilo kuwa pongezi kwa Kata zilizofanya vizuri vilevile limelenga kuwa motisha kwa Kata zingine kujitahidi kufikia makisio waliyopatiwa na hata kuvuka lengo kwani mkakati wa  Halmashauri yake ni kukusanya mapato kutoka 87% zilizokusanywa mwaka wa fedha 2018/2018 na kufikia 100% kwa mwaka wa fedha 2019/2020  na jambo hilo linawezekana ikiwa kila mmoja atatimiza majukumu kwa weredi.

Naye mgeni rasmi Mhe. Makungu aliongeza kuwa jambo hilo linawezekana ikiwa tu viongozi na watu wanaowaongoza watazungumza lugha moja. Hii ikiwa na maana kuwa mikakati yote waliyoiweka ikizingatiwa Sikonge itavuka lengo la 100% kutokana na kuwa Wilaya hii ina vyanzo vingi vya mapato pamoja na watu wachapakazi hivyo aliendelea kusisitiza kuwa nyenzo hizi zikitumiwa vizuri zitatoa matokeo bora.

Tuzo hizi ziligawanyika katika makundi mawili ambapo kundi la kwanza lilikuwa ni Tuzo kwa Kata zilizokusanya mapato mengi zaidi. Katika kundi hili zawadi zilitolewa kwa washindi watatu na mshindi wa kwanza alikuwa kata ya Kipili iliyokusanya Ml. 76 sawa na 107%, kata ya pili ilikuwa Kiloli iliyokusanya Ml. 70 sawa na 121.9% wakati kata ya Nyahua ikiwa mshindi wa tatu kwa kukusanya Ml. 66 sawaa na 172.8%. Asilimia hizi zilikokotolewa kulingana na makisio yaliyowekwa kwa kata hizo.

Vilevile kundi la pili ilikuwa ni tuzo kwa kata zilizovuka malengo na kukusanya kiasi kikubwa zaidi ya makisio waliyowekewa. Ambapo katika Tuzo hizi kata ya Sikonge iliibuka mshindi wa kwanza ikiwa imekusanya 279.4%, ikifuatiwa na Kata ya Kiloleli 273.1% wakati kataa ya tatu ikiwa Mkolye 215.9%.

Sanjari na ugawaji wa Tuzo hizo ambazo ziliuzuliwa na Viongozi mbalimbali ngazi ya Wilaya, pia watendaji wa kata na vijiji walipatiwa semina ya kiutendaji ili kuwaongezea ufanisi kazini. Semina hiyo ilikuwa shirikishi ambapo majadiriano mbalimbali yalifanyika.

XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa