• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

SIKONGE YAANZA MIKAKATI YA UTEKELEZAJI WA UJENZI WA MADARASA YA KIDATO CHA KWANZA_SIKONGE.

Imewekwa: October 12th, 2022

Sikonge_Tabora


12.10.2022


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Seleman Pandawe ameitisha kikao na Viongozi na wasimamizi wa Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa 29 katika shule za Sekondari 9 za Wilaya ya Sikonge wakiwemo Watendaji wa Kata, na Walimu Wakuu kwa ajili ya kuwapa maelekezo ya namna Bora ya utekelezaji wa Miradi hiyo ikiwa ni maandalizi ya Mapokezi ya Wanafunzi wa kidato Cha kwanza Mwaka wa Masomo 2023.


Awali akifungua kikao hicho Mkurugenzi Mtendaji Seleman Pandawe amewataka walimu Wakuu kuwashirikisha wananchi ambao ni wadau wa Maendeleo kwa kutoa taarifa ya Miradi na thamani ya fedha za miradi inayotekelezwa katika maeneo husika ili wafahamu Serikali inachokifanya kwa wananchi wake.


Aidha,DED Pandawe amewasisitiza kujiepusha na matumizi mabaya ya fedha na badala yake wawe waaminifu ili miradi iweze kukamilika kwa Ubora na Kwa wakati.

"Kila mtu anahitaji fedha,lakini siyo kila fedha utahitaji kutumia, zingine ziache zifanye shughuli zilizopangiwa" DED Pandawe


Kwa Upande wake Afisa wa TAKUKURU Wilaya ya sikonge Magore Msena amewasisitiza kuwa wazalendo wakizingatia Sheria na taratibu zilizowekwa katika utekelezaji wa Miradi hiyo.

"Tusihamasishane kukwamisha hii miradi, maelekezo yanapotolewa wakati wa Ujenzi yafanyiwe kazi kabla ya kuendelea na kazi nyingine, tuwe wazalendo kukamilisha miradi" Magore Msena


Katika hatua nyingine , Afisa Manunuzi Wilaya ya Sikonge Shadrack Baruti amesisitiza taratibu za Manunuzi kuzingatiwa kwa uwazi.


"Kuna baadhi ya walimu wanaenda kufanya kotesheni bila kushirikisha Kamati zote za Ujenzi , siyo utaratibu , Vifaa vikija vikaguliwe na Kamati msifanye kimyakimya, fanyeni kazi kwa uwazi" Baruti


Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge imepokea fedha Tsh.Milioni 580 kutoka Serikali kuu kwa ajili ya ujenzi wa Vyumba 29 vya Madarasa katika shule 9 za Sekondari ikiwa ni maandalizi ya kuwapokea Wanafunzi wa Kidato Cha kwanza 2023.


#kaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa