• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

SIKONGE YAANDAA MPANGO MKAKATI WA MWAKA 2019/2020 HADI 2023/2024

Imewekwa: June 21st, 2019

SIKONGE YAANDAA MPANGO MKAKATI WA MWAKA 2019/2020 HADI 2023/2024

Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge imeanza mchakato wa kuandaa Mpango Mkakati wa Miaka mitano wiki hii kwa kutoa mafunzo kwa wakuu wote wa Idara na Vitengo ili washiriki kikamilifu katika uandaji wa mpango huo kwa kuwa ndio njia itakayoiongoza Halmashauri kwa miaka mitano.

Mafunzo hayo ambayo leo yanahitimishwa yalianza siku ya Jumatatu katika ukumbi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii (FDC) ambapo Mkurugenzi Mtendaji, Bi. Martha Luleka alifungua rasmi mafunzo hayo na kuwasisitiza wakuu wa Idara na Vitengo kushiriki na kutoa mawazo yao  kikamilifu katika mafunzo hayo ili kupata Mpango wenye tija na maendeleo kwa wananchi kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Aidha, Bi. Martha Luleka alisema, " hakuna shughuli yoyote utakayo itekeleza nje ya Mpango huu kwa muda wa miaka mitano, kila shughuli utakayo leta maombi kwa ajili ya kutekeleza, mimi nitaangalia tu kama ipo kwenye mpango wetu ndipo nitairuhusu na sio vinginevyo". Aliyasema hayo kuweka msisitizo juu ya mafunzo yanayotolewa na muwezeshaji, Dkt. Titus Mwangeni kutoka Chuo cha Mipango Dodoma.

Muwezeshaji alikaribishwa na Mkurugenzi ili kuendelea na mafunzo hayo ambayo yamefanyika kwa siku tano. "Maandalizi ya mpango mkakati wa taasisi yoyote huwa ni gharama kubwa sana lakini nyie mmepata bahati kubwa sana kufanya zoezi hili kwa gharama ndogo kwa njia alizozitumia Mkurugenzi wenu," alisema muwezeshaji huyo na kusisitiza pia kila Mkuu wa Idara na Kitengo kushiriki kikamilifu bila kukosa hata siku moja katika mafunzo.

Washiriki wa mafunzo hayo ambao ni wakuu wa Idara na Vitengo wamefurahi sana kupata mafunzo hayo kutoka kwa Muwezeshaji mwenye ujuzi na uzoefu wa kutosha wa kuandaa Mpango Mkakakati. Katika kuchangia mawazo, Mwanasheria wa Halmashauri, Bwana Paschal Kapinga alisema kuwa mafunzo hayo ni muhimu sana kwa Halmashauri na kama ikiwezekana ni vema washiriki wote tukapatiwa vyeti vya ushiriki wa mafunzo.


 Imeandaliwa na Kitengo cha TEHAMA@2019

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa