• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

RADI YAUA WATANO FAMILIA MOJA

Imewekwa: April 23rd, 2019

RADI YAUA WATANO  FAMILIA MOJA.

KILIO na majonzi vyatawala baada ya watu watano wote wa familia moja kupigwa na radi hadi kufa wakiwa wamelala kitandani.

Tukio hilo la kusikitisha limetokea katika Kata ya Mkorye, kijiji cha Isongwa, kitongoji cha Kamsini Wilayani Sikonge Tabora. Baada ya mvua kubwa iliyonyesha majira ya saa mbili usiku wa kuamkia siku ya jumanne na kuchukua uhai wa wanafamilia watano akiwemo mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya msingi Igalula.

Akiwataja marehemu hao kuwa ni Mindi Juma (ke) 40  ambaye alikuwa ni mama wa familia, Vai Juma(ke) 16, Grace Juma (ke) 13, Kulwa Lukanya (ke) 12 ambaye ndio mwanafunzi wa darasa la pili na Sia Juma (ke) 7 kaka wa marehemu Machia Petro alisema kuwa walipokea taharifa za msiba saa mbili asubuhi baada ya watoto waliosalimika kufika nyumbani na kueleza kuwa wanawaamsha wanafamilia hao na hawaamki ndipo walipochukua hatua ya kwenda kuangalia kilichojili na walipofika wakagundua kuwa watu hao walishafariki tokea usiku.

Akithibitisha vifo vilivyotokea Daktari Methew Sipemba alisema kuwa “ni kweli vifo hivi vimetokana na radi na hivyo jamii isijiingize kwenye swala la ushirikina” aliongeza kuwa tukio la radi huwa linasababisha kifo endapo muhusika atapigwa na radi kuanzia eneo la kifuani kupanda hadi juu kwakuwa mtu huvuta hewa yenye moto mkali ambayo huunguza viungo vyote vilivyo ndani ya mwili wake.  Lakini ikipa eneo la miguu mtu hupata mshtuko na majeraha ya kawaida tu.

Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri akiwapa pole Wanakijiji eneo la tukio.

Naye mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Mhe. Peter Nzalalila alifika eneo la tukio ili kujionea na pia kutoa pole kwa wale wote waliofikwa na msiba huo huku akiihasa jamii kutoshiriki imani za kishirikina kwenye tukio hilo kwa kuzani kuwa ni mkono wa mtu bali waomboleze kwa amani na kuhifadhi miili ya marehemu huku wakimtanguliza Mungu katika kila jambo. Aliongeza kuwa kwa niaba ya Serikali wamesikitishwa sana na tukio lililotokea na wanaungana na wafiwa kuomboleza katika kipindi hiki kizito cha majonzi.

Katika tukio hilo pia walionusulika watoto watatu ambao ni Doto Lukanya (ke) 12, Pendo Machia (ke) 12 na Masanja Juma (me) 11 ambao walikuwa wamelala chini muda wa tukio pia walipata majeraha madogo madogo eneo la miguuni ambapo Dkt Sipemba alishauri wapewe dawa za kupinguza maumivu tu na kutoa  neno kuwa majeraha hayo hayana madhara.

IMEANDALIWA NA 

KITENGO CHA TEKINOLOJIA HABARI NA MAWASILIANO(TEHAMA)

SIKONGE.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa