• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA 551, WALA VIAPO JIMBO LA SIKONGE

Imewekwa: October 25th, 2025


Na Edigar  Nkilabo – Sikonge DC.


Makarani waongozaji wapiga kura wapatao 551 kutoka Jimbo la Sikonge wamekula viapo mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Sikonge, Ndg. Benjamin Mshandete wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya Uchaguzi Mkuu ambapo amewataka kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, taratibu, kanuni na miongozo ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC).

Akifungua Mafunzo hayo katika Ukumbi wa Mwanambuya kwa Makarani waongozaji wapiga kura Jimbo la Sikonge, Mshandete amewasisitiza Makarani hao kuviheshimu viapo walivyoapa na kufanya kazi kwa niaba ya INEC ambayo imewateua na kuwapa vitabu vya miongozo ya utendaji kazi.

“Hapa nyote mmeteuliwa na INEC sio kwa bahati mbaya bali ni kwa mujibu wa sheria za Tume, sasa nendeni mkafanye yale mnayoelekezwa na Tume kwa mujibu wa Katiba yetu, sheria ,kanuni na miongozo yake”

“Pia nitoe wito kwenu Makalani hakikisheni mnawasaidia wenye mahitaji maalumu pindi watakapofika katika vituo vya kupigia kura ili waweze kutimiza haki yao ya msingi ya kuchagua viongozi wanaowahitaji”aliongeza Ndg. Mshandete.

Kwa upandwe wake Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Jimbo la Sikonge, Nico Kayange wakati akitoa mafunzo kwa Makarani amewataka kutunza vifaa vyote watakavyokabidhiwa kwa ajili ya zoezi la Uchaguzi Mkuu.

“Tunzeni vifaa vyote ili zoezi liende vizuri lakini pia hakikisheni mnabandika mabango yote ya Uchaguzi kama Tume inavyoelekeza ili wananchi waone na kusoma mapema ili siku ya Uchaguzi wasihangaike”alisema.

Mafunzo hayo ya siku moja yamehudhuriwa na Makarani waongozaji wapiga kura kutoka kata 20 za Wilaya ya Sikonge.

Matangazo

  • TANGAZO LA FURSA ZA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE September 10, 2025
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA 551, WALA VIAPO JIMBO LA SIKONGE

    October 25, 2025
  • KITENDAWILI CHA ULIPAJI TOZO ZA KUNI CHATEGULIWA BAADA YA KIKAO CHA MAJADILIANO

    October 18, 2025
  • MAAFISA MIFUGO WILAYANI SIKONGE WAASWA KUWAJIBIKA

    October 16, 2025
  • MIRADI 20 YAKAGULIWA NA KAMATI YA WATAALAMU (CMT) ROBO YA KWANZA KWA MWAKA WA FEDHA WA 2025/2026

    October 12, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa