• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

SIKONGE IKO SHWARI WANANCHI NENDENI MKAPIGE KURA OKTOBA 29, 2025

Imewekwa: October 27th, 2025

Na Edigar Nkilabo - Sikonge DC.

Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe.Thomas Myinga ametoa wito kwa wananchi wa Sikonge kujitokeza kwa wingi na kwenda kushiriki zoezi la upigaji kura kwa kuwachagua viongozi wanaowataka pasipo wasiwasi kwakuwa serikali imeimarisha usalama wa raia na itaendelea kuimarisha usalama hata baada ya uchaguzi mkuu kama siku zote.

Mhe.Myinga ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na vyombo vya Habari katika Ofisi za Wilaya ambapo amewahakikishia usalama wananchi wote watakaoenda vituoni kupiga kura Oktoba 29, mwaka huu.

“Kwenye Wilaya yetu tunavituo vya kupigia kura 451 na vyote vitatumika niwatoe wasiwasi serikali imeimarisha usalama kama siku zote hivyo nendeni mkashiriki katika zoezi la kupiga kura mchague viongozi mnao wataka kulingana na sera zao walizotoa wakati wa kampeni”

“Pia ukishamaliza kupiga kura wewe rudi nyumbani kapumzike usubiri matokeo suala la ulinzi wa kura tuwaachie waliopewa jukumu hilo ambao ni mawakala wa vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi mkuu”aliongeza Mhe.Myinga.

Kwaupande wake Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Sikonge Mwl. Benjamin Mshandete amesema maandalizi yamekamilika kwa asilimia 100 kwakuwa tayari wameshapokea vifaa vyote na kuvisambaza kwenye maeneo ya kata.

“Wale wote ewaliojiandikisha kupiga kura na wanavitambulisho wajitokeze wakatimize haki yao ya kikatiba kwakuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imeandaa mazingira bora kwa wananchi kupiga kura”alisema.

Aidha Mshandete amesema tayari wamekamilisha mafunzo kwa Makarani waongozaji wapiga kura pamoja na Wasimamizi wa vituo na Wasimamizi wasaidizi wa vituo vya kupigia kura ambao watapelekwa kwenye vituo vyote 451.

Matangazo

  • TANGAZO LA FURSA ZA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE September 10, 2025
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • SIKONGE IKO SHWARI WANANCHI NENDENI MKAPIGE KURA OKTOBA 29, 2025

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI WA VITUO NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO VYA KUPIGA KURA WASISITIZWA KUWAPA KIPAUMBELE WENYE MAHITAJI MAALUMU

    October 26, 2025
  • MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA 551, WALA VIAPO JIMBO LA SIKONGE

    October 25, 2025
  • KITENDAWILI CHA ULIPAJI TOZO ZA KUNI CHATEGULIWA BAADA YA KIKAO CHA MAJADILIANO

    October 18, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa