• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

NDEGE YAANGUKA NA KUUA - SIKONGE

Imewekwa: August 3rd, 2019

NDEGE YAANGUKA NA KUUA RUBANI NA ABIRIA WILAYANI SIKONGE

NA EVELINA ODEMBA

WATU wawili raia wa Afrika Kusini wafariki katika ajali ya ndege iliyotokea mapema asubuhi ya leo majira ya saa moja na nusu katika kata ya Igigwa Wilayani Sikonge.

Watu hao waliotambulika kwa majina ya D. Werner mwenye umri wa miaka hamsini na nane 58 pamoja na Werner Fredrick Fronaman mwenye umri wa miaka 36 wote wanamme  raia wa Durbun Afrika ya kusini waliokuwa wakisafiri kwa kutumia  Ndege yenye namba za usajili 19-ZU-TAF mali ya Afrika Kusini.

Akielezea tukio hilo Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe. Peres Magiri alisema kuwa marehemu hao waliokuwa wakitokea Entebe Uganda kuelekea Lilongwe Malawi walipata hitirafu ya injini hivyo walilazimika kutua kwa dharura katika uwanja wa ndege wa Tabora hapo jana, kabla ya kuendelea na safari yao asubuhi ya leo ambapo wakiwa angani muda mchache baada ya kuruka walitoa taarifa kwa watu wa anga kuwa injini imezimika ghafla na baada ya hapo hawakuweza kupatikana tena mpaka taarifa za ajali hiyo zilipopatikana.

“Tumepokea kwa masikitiko makubwa tukio hili kwani hawa ndugu zetu ambao walikuwa katika ziara ya kuhamasisha wanafunzi barani Afrika kusomea elimu ya Anga na kwa upande wa Tanzania walitoa elimu hiyo visiwani Zanzbar” alisema

Sambamba na hilo pia alitoa shukurani kwa vyombo vya ulinzi na usalama Mkoani Tabora kwa kushiri vyema  kutoa msaada wakati wa tukio hilo huku akiagiza jeshi la Polisi Wilayani Sikonge kuendeleza ulinzi kwenye eneo ilipotokea ajali hiyo mpaka uchunguzi kamili utakapokamilika.

Naye mwenyekiti wa halmashauri ya Sikonge Mhe. Peter Nzalalila alitoa shukurani kwa wananchi wa kata ya Igigwa ambao walishiriki kutoa taarifa kwa Viongozi mbalimbali pamoja na kuwaokoa marehemu katika ajali na kusisitiza kuwa na moyo huo huo wa kiubinadamu waliouonesha.

Mbali na umati mkubwa wa watu waliojitokeza kuwa mashuhuda wa ajali hiyo pia viongozi mbalimbali ngazi ya Wilaya walifika kutoa msaada akiwemo Mbunge wa Jimbo la Sikonge Mhe. Joseph Kakunda, Mkurugenzi wa Halmashauri Martha Luleka pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilayani hapa.

Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa