• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

Imewekwa: April 29th, 2025

Na, EDIGAR NKILABO

Mwenyekiti wa Kamati ya Kikao cha Tathimini ya Mkataba wa Lishe kwa Ngazi ya Wilaya amewataka watendaji wote wa kata Wilayani Sikonge kusimamaia na kufuatilia taarifa zote za utekelezaji wa mkataba wa lishe ili kuimarisha hali ya lishe na afya kwa ujumla katika jamii hasa kwa makundi ya watoto wa chini ya miaka 5, kina mama wajawazito, vijana balehe pamoja na wanafunzi wa shule ya awali, msingi na sekondari.

Akizungumza katika kikao hicho katika ukumbi wa Halmashauri kwa niaba ya Mwenyekiti Katibu Tawala wa Wilaya ya Sikonge Andrea Ng’hwani amesema watendaji wa kata wanapaswa kushirikiana na wataalamu wa afya wa Kata na Vijiji ili kupata takwimu sahihi za utekelezaji wa afua za lishe katika maeneo yao hasa upatikanaji wa chakula shuleni.

Kwa upande wake Katibu wa Kikao hicho Ndugu Seleman Pandawe amewataka Watendaji wa Kata kwenda kusimamia uundwaji wa kamati za lishe zinazotokana na wazazi katika shule za msingi na sekondari ili Walimu wabaki na jukumu moja tu, lakufundisha watoto huku wazazi wenyewe wakihakikisha upatikanaji wa chakula.

“Wazazi wakisimamia wenyewe masuala ya chakula itasaidia kupunguza malalamiko ya baadhi ya wazazi kwa Walimu wanaojihusisha na usimamizi wa chakula lakini kama jukumu hilo litabaki kwao basi watajua namna nzuri ya kuhamasisha uchangiaji wa chakula shuleni na ushahidi unaonesha shule zote zenye kamati ya lishe zinafanya vizuri hakuna migogoro.”amesema.

Naye AfisaLishe Wilaya ya Sikonge Bi.Veronica Ferdinand amesema kwa robo ya tatu, Januari hadi Machi 2025 Vijiji vyote 71 vimeweza kutekeleza siku ya Afya na Lishe ya kijiji hii ikiwa na sawa na asilimia 100 ya utekelezaji wake.

Aidha Bi.Veronica amesema kwasasa jumla ya shule 134 kati ya 136 (Msingi na Sekondari) katika Wilaya ya Sikonge zinatoa huduma ya chakula shuleni kwa wanafunzi wa bweni na kutwa huku asilimia 80.1 ya wanafunzi ndio wanaopata chakula wanapokuwa shuleni.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa