• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

“NASISITIZA NDUGU ZANGU WANANCHI PELEKENI WATOTO SHULE.” DC. MAGEMBE

Imewekwa: April 16th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe. Cornel Magembe amesisitiza suala la kupeleka watoto shule ni muhimu kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wenyewe pamoja na taifa kwa ujumla,kwani kwa kusomesha watoto hapo ndipo tunavuna wataalam katika nyanja mbalimbali hivyo kusaidia taifa kuendelea kwa haraka.

Mhe. Magembe ameyasema hayo leo katika mkutano wa hadhara wa kusikiliza kero za wananchi katika kijiji cha Kikungu kata ya Chabutwa alipokuwa akijibu kero zilizowasilishwa na wananchi wa kijiji hicho.

Naye  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Ndg. Seleman Pandawe akijibu swali kuhusu bei itakayonunuliwa asali katika kiwanda cha kuchakata na kufungasha mazao ya nyuki Sikonge Ndg. Pandawe amesema asali ya wafugaji wa nyuki wilaya ya Sikonge itanunuliwa kwa mfumo wa mpya wa stakabadhi ghalani utakaowezesha upatikanaji wa bei nzuri kwa wafugaji kwani mfumo huu ni kati ya mkakati wa serikali kuboresha mnyororo wa thamani wa mazao ya nyuki na kuwainua wakulima kiuchumi nchini.

Mhe. Magembe ametoa wito kwa wananchi wa Kikungu kuchangamkia fursa  kwa kuchangia shuguli za maendeleo kwani Serikali ya awamu ya sita inafanya kazi kubwa ya kuwaletea karibu huduma nyingi  za msingi  hivyo basi ni vema wananchi kuanzisha hata ujenzi wa boma pale wanapoona uhitaji wa huduma kama za afya unahitajika kwa haraka ili basi serikali ione juhudi zao na kuharakisha ukamilishaji wa  miradi hiyo katika maeneo yao kwa wakati.

Akifunga mkutano huo diwani wa kata ya Chabutwa Mhe.Edward Peter Almasi amemshukuru Mkuu wa Wilaya ya Sikonge kwa kufika katika kijiji cha Kikungu na kusikiliza changamoto zinazowakabili wananchi ,Mhe . Almasi ameahidi kuendelea kushirikiana na wananchi  kusukuma gurudumu la maendeleo na kumuomba DC Magembe kurudi tena wakati mwingine kuja kuzungumza na wananchi kwani kata yake ni kubwa na wananchi bado wanashauku ya kuonana na kuongea na kiongozi wao wa wilaya.



Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa