• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

MHE.CHACHA AONGOZA KIKAO CHA BAJETI YA LISHE KWA MWAKA FEDHA 2024/2025 KATIKA UKUMBI WA HOSPITALI YA WILAYA YA SIKONGE.

Imewekwa: November 28th, 2023

Akifungua kikao hicho Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe. Simon Chacha amewataka wajumbe kushiriki ipasavyo na kuchangia Mawazo ili kupata matokeo Chanya ya lishe katika jamii ya watu wa Sikonge.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Ndg. Seleman Pandawe amewasihi watendaji wa serikali kuhakikisha wanasimamia miongozo ya serikali juu ya masuala ya lishe ikiwa ni pamoja na uanzishwaji wa klabu za lishe mashuleni pamoja na kuweka  mkazo katika usimamizi wa masuala ya lishe mashuleni hasa kupitia Uwawa (Umoja wa Wazazi na Walimu),kwani umoja huu utasaidia sana katika uratibu wa masuala ya lishe mashuleni pamoja na mambo mengine ambayo jamii inapaswa kushirikishwa moja kwa moja.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Sikonge  Ndg. Andrea Ngh’wani amesema mara nyingi wataalam wanapanga vizuri lakini utekelezaji unakuwa dhaifu hivyo amemuomba Mkurugenzi jitihada zifanyike ili fedha za kutosha zipatikane na kutekeleza yale yote yaliyokusudiwa katika bajeti.

Nao wataalam wamewasilisha makadirio ya bajeti za lishe toka divisheni na vitengo mbalimbali kama ifuatavyo;Divisheni ya Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe  imewasilisha makadirio ya  bajeti ya lishe Tsh.64,932,000/=,Divisheni ya Elimu Awali na Msingi Tsh.1,000,000/=,Elimu Sekondari Tsh,15,000,000/=,Maendeleo ya Jamii Tsh, 18,425,000/= na Divisheni ya Kilimo ,Mifugo na Uvuvi Tsh,10,700,000/=.

Akihitimisha kikao hicho Mhe. Chacha amewasihi wajumbe kuzingatia yale yote yaliyochangiwa kama ushauri na mapendekezo hasa tunapoelekea katika vikao vya bajeti za mwaka lakini pia amesisitiza kulifanyia kazi agizo la Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian la kupanda miti ya Matunda katika maeneo yote kama ilivyoelekezwa hususani katika Barabara ya bomani kuelekea Ofisi za Halmashauri na Barabara ya kuelekea makazi ya Mkuu wa Wilaya.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa