• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

MAZINGE KUWA YA MFANO

Imewekwa: April 19th, 2019

MAZINGE KUWA YA MFANO

KITUO cha Afya cha Mazinge kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge chatakiwa kuwa cha mfano kuhusu swala zima la usafi.

Agizo hili lilitolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Bi. Martha Luleka alipotembelea kituo cha Afya cha Mazinge   ili  kuona namna wanavyoweza kukabiliana na ugonjwa wa Homa ya Dengue ambao umekuwa tishio pia alikagua namna huduma za Afya zinazotolewa kituoni hapo.

Akihoji swala la usafi Bi. Martha alisikitishwa na hali aliyoikuta Mazinge ambapo baadhi ya wagonjwa walilazwa katika vitanda ambavyo havikuwa vimetandikwa mashuka ambapo Osca Magunga ambaye ni mganga kituoni hapo alijibu kuwa kumekuwa na uhaba wa maji jambo linalochelewesha kufua mashuka kwa wakati huku akihaidi kuwa tayari wanashugulikia swala hilo.

Huku akiitolea mfano Zahanati ya Kipili aliwataka watumishi wote walioko kituo cha Mazinge kujifunza usafi kupitia Zahanati ya Kipili kwa kutumia pesa za miradi mbali mbali ya Afya ikiwemo RBF kukiboresha Kituo hiko wakati akisisitiza usafi ni jukumu la kila mtu aliyepo eneo hilo hivyo basi watumishgi wote walihaswa kushiriki usafi ambapo Mganga Mkuu aliahidi kulisimamia jambo hilo.

Akizungumzia swala la utoaji wa Huduma za Afya Bi. Martha alisisitiza watoa huduma wote kujituma kwa moyo huku akiimiza kuwa serikali inatoa pesa nyingi hivy itakuwa jambo la kushangaza ikiwa wagonjwa watakosa huduma ya dawa kwani hivi sasa kumeandaliwa mpango mzuri wa kununua dawa mapema kabla ya zilizopo kuisha. Sanjari na kusema kuwa Mazinge imekuwa na wahudumu wa Afya wengi kuliko sehemu nyingine ndani ya Halmashauri ya Sikonge hivyo wajikite katika kutoa huduma bora.

Mkurugenzi Akikagua jengo la mama na mtoto katika Kituo cha Afya Mazinge

Katika ziara yake Mkurugenzi alifanikiwa kukagua Jengo la Mama na mtoto, wodi ya Wanamme na sehemu ya kufulia ambapo ilibainika kwa mashine kuwa mbovu huku Bwana Oska akitolea maelezo kuwa ufuatiliaji wa matengenezo unaendelea na mashine zitaanza kutumika wakati wowote.

Kume kuwa na wimbi kubwa la watumishi walioko Wilayani Sikonge kutibiwa katika Hospitali ya Misheni ambayo ina ubia na Serikali na sio kituo cha Mazinge ambacho ni cha serikali, jambo lililomlazimu Mkurugenzi kufanya ziara ya kushitukiza kituoni hapo ambapo alibaini changamoto hizo na tayari zinatatuliwa hivyo huduma itaendelea kupatikana kwa ubora na kasi ya serikali ya awamu ya tano.

IMETOLEWA NA 

KITENGO CHA TEKINOLOJIA HABARI NA MAWASILIANO (TEHAMA) SIKONGE

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa