• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

MADIWANI WANENA

Imewekwa: January 31st, 2019

MADIWANI WANENA.

Wilaya ya Sikonge mkoani  Tabora yakusanya Tsh. Bilioni 1.28 sawa na asilimia 60.7% za mapato yote yaliyokusanywa katika kipindi cha robo ya mwaka wa fedha 2018/2019.

Takwimu hizi zilitolewa na mwenyekiti wa Halmashauri ya Sikonge Mh. Peter Nzalalila katika kikao cha baraza la Madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa FDC. Wakijadili maendeleo ya Halmashauri ya Sikonge  Nzalalila alihasa kuongeza juhudi  kukusanya  mapato ili kutoa huduma bora kwa wananchi wa Sikonge.

Aliongeza kuwa mapato yanayokusanywa kwa kutumia mashine za kielectronia  (POSS) yafanyike kwa uhaminifu mkubwa kwani hakutakuwa na msamaha wa aina yeyote kwa mtu atakayesababisha upotevu wa pesa na matumizi ya pesa za umma bila kupata kibali mahalumu.

Akitaja  jumla  ya kiasi cha  sh. Ml 400 zilitolewa na Halmashauri yake kwa ajili ya ujenzi wa Miundombinu ikiwamo Shule za msingi na sekondari ili kuboresha sekta ya Elimu.

Aidha Nzalalila alitoa wito kwa watumishi wote kuwajibika na kuacha kufanya kazi kwa mazoea kwani Serikali ya awamu hii haitomvumilia mfanyakazi yeyote asiyejituma kwani ilani ya chamam cha mapainduzi ni kuhakikisha kuwa wananchi wanapatiwa huduma bora na kwa wakati sahihi ndio maana hata swala la elimu katika shule za serikali  za msingi na sekondari ni bure.

Wheshimiwamadiwani wakifatilia kwa makini kikako kinachoendele.

Sanjari na hayo pia alimpongeza mkurugenzi mtendaji wa Halmashali Bi. Martha Luleka kwa mbinu alizozitumia kuhakikisha nidhamu ya kazi kwa watumishi inarejea. Akizipokea pongezi hizo Bi. Martha pia aliwahasa wakulima wasilime kwa mazoea na  kulalamikia mtaji huku akitolea mfano wa wahitimu wa chuo kikuu cha SUA ambao wamekuwa wakijiunga katika makundi na kujikita katika kilimo chenye manufaa.

Akifafanua zaidi alisema mtaji ni jumla ya vitu vitatu ambavyo ni nguvu, muda pamoja na pesa kidogo hivyo basi wakulima wasibweteke kusubiri kuwezeshwa na serikali bali waanze wao kwanza na kuhakikisha wanalima kwa ajili ya kujinasua katika umasikini.

Wajumbe pia walikuwa na maoni mbali mbali ambapo waligusia zaidi juu juu ya kuhamasisha wananchi wao kushiriki katika shuguli za maendeleo kwani maendeleo ni ya wananchi wote. Hivyo wasisite kushiriki mara watakapokuwa wanahitajika.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa