• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE ROBO YA PILI 2024/2025

Imewekwa: February 7th, 2025

Baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora limepitia na kupitisha mapendekezo ya makisio ya Bajeti ya shilingi bilioni 37.074 kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

Hayo yamejiri katika Kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Sikonge kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ambapo wamejadili taarifa mbalimbali pamoja na kupitisha makisio ya bajeti hiyo.

Akiwasilisha taarifa ya Mpango huo wa Bajeti Mkuu wa Idara ya Mipango na Uratibu wilaya ya Sikonge, Aidan Flument amesema Bajeti hiyo imezingatia maeneo mbalimbali ikiwemo utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani humo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Sikonge ndg.Selemani Pandawe amesema kila mwaka wa fedha wamekuwa na bidii ya kutenga fedha za mapato ya ndani za miradi pamoja na kusimamia fedha za serikali kuu za miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo miradi ya afya na elimu.

Naye Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani Mhe.Rashid Magope amemtaka Mkurugenzi na wataalamu wa Halmashauri kuongeza ufanisi na uadilifu katika ukusanyaji wa mapato ili kufikia lengo la makusanyo yaliyopangwa.

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Sikonge Mhe.Cornel Magembe amewasisitiza madiwani kubuni vyanzo vipya vya mapato ili kuongeza makusanyo ambayo yatasaidia kusogeza na kuboresha huduma kwa wananchi.

Aidha Mhe.Magembe amewataka wazazi na walezi kupeleka watoto shule wale wanaotakiwa kuanza darasa la awali na msingi pamoja na wale waliofaulu darasa la sab ana kutakiwa kujiunga na elimu ya sekondari kidato cha kwanza.

“Inasikitisha hadi leo kuna watoto mmekaa nao nyumbani badala ya kuwapeleka shule wakasome nimewaagiza watendaji kushirikiana na migambo kuanza kuwakamata wazazi na walezi wasiopeleka watoto shule na hili halikubaliki kwakuwa serikali ya Mama Samia inatumia fedha nyingi kujenga madarasa na kuboresha miundombinu watoto wasome” amesema.

Katika hatua nyingine baadhi ya wajumbe wa baraza wamewashauri Watendaji wa TARURA na RUWASA kushirikiana na madiwani na baadhi ya viongozi wa ngazi za kata na vijiji katika kuapanga maeneo ya kupelekewa miradi ili kuwa na msawazo wa huduma tofauti na sasa baadhi ya maeneo yanapelekewa miradi mingi ili hali yapo maeneo hayana hali inayoathiri upatikanaji wa huduma kwa wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa