• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

KAMATI YA FEDHA,UONGOZI NA MIPANGO YAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO.

Imewekwa: May 4th, 2021

KAMATI YA FEDHA,UONGOZI NA MIPANGO IMEFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO;

Tarehe 4.5.2021

 _Na.Anna Kapama,_

Ukaguzi huo umefanywa na kamati hiyo katika miradi mbalimbali ikiwemo madarasa, matundu ya vyoo katika shule za msingi Ushirika,Mwanamkola na Majengo,huku Wodi tatu za Hospitali ya Wilaya ya Sikonge zikikaguliwa pia.
Katika shule ya  msingi Ushirika kamati hiyo imekagua ujenzi wa Vyumba vitatu vya madarasa, ofisi ya waalimu na Matundu 5 ya vyoo, na kuridhishwa na maendeleo ya ujenzi huo. Akisoma taarifa mbele ya Mwenyekiti wa Halmashauri, Mkuu wa Shule ya msingi Ushirika Mashaka Donard amesema mradi huo umekamilika kwa asilimia 100, huku akiishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ufadhili huo.

Katika Shule ya Msingi Mwanamkola yenye jumla ya wanafunzi 225, kamati hiyo imekagua vyumba vitatu vya madarasa, Ofisi moja na matundu 6 ya vyoo vya kisasa  vyenye thamani ya shilingi Milioni 66.6. Akisoma taarifa ya ujenzi wa mradi wa ujenzi huo Katibu wa ujenzi ambae pia ni Mkuu wa shule hiyo, Bi.Happiness Jacob amesema mradi huo unatarajia kukamilika tar.15/5/2021, huku akiwashukuru Viongozi wa mradi huo, Mbunge wa Jimbo la Sikonge, Waheshimiwa madiwani, Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji (W).

Katika shule ya msingi Majengo kamati hiyo ya Fedha,Uongozi na Mipango imekagua vyumba viwili vya madarasa, ofisi moja na matundu 7 ya vyoo vya kisasa  na chumba maalumu mradi  wenye thamani ya Sh.Milioni 47.7, akisoma taarifa ya ujenzi wa mradi wa ujenzi huo Mkuu wa shule hiyo amesema mradi huo upo katika hatua ya mwisho ya ukamilishaji na utakamilika tar.15/5/2021, mkuu wa shule hiyo ameishukuru Serikali kuu kwa kutoa fedha hizo na viongozi mbalimbali waliofanikisha mradi huo.

Katika hatua nyingine kamati hiyo imekagua mradi wa ujenzi wa wodi tatu katika hospitali ya Wilaya ya Sikonge ambazo ni wodi ya wanaume, wodi ya wanawake na wodi ya watoto ujenzi ambao utagharimu Sh.Milioni 500 ikiwa ni fedha kutoka Serikali kuu.

Nae kaimu Mganga Mkuu Wilaya ya Sikonge Dkt.Theopister Elisa amesema mradi huo upo katika hatua za kusimamisha boma, na kuongeza kuwa unatarajiwa kukamilika mwezi Juni mwaka 2021.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Mhe.Rashid Magope amezipongeza kamati zote za ujenzi na wasimamizi wote wa miradi hiyo ya maendeleo na kuwataka kuendelea kutunza na kulinda miradi hiyo hasa Madarasa na vyoo ili vidumu kwa Muda mrefu, kwa kuwa miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa ya kisasa na matundu ya vyoo,katika shule za msingi Mwanamkola, Majengo na Ushirika itasaidia kupunguza msongamano wa wanafunzi katika shule hizo, kupunguza msongamano wa waalimu katika ofisi na kuboresha mazingira rafiki  ya kufundishia kwa wanafunzi wakiwemo wenye ulemavu hivyo kuongeza ufaulu zaidi.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa