• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

DC PALINGO AMETOA SIKU 30 KWA WATOTO KUONDOLEWA MGODINI KITUNDA.

Imewekwa: October 18th, 2021


DC PALINGO AMETOA SIKU 30 KWA WATOTO KUONDOLEWA MGODINI KITUNDA.
Na.Anna Kapama .Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mheshimiwa John Palingo amewataka wachimbaji walio katika Mgodi wa Kitunda kuwaondoa watoto eneo la mgodi ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Mkuu wa Mkoa Balozi Dkt Batilda Buriani kuwataka viongozi hao kuchukua hatua dhidi ya watu waliokiuka sheria na taratibu za uchimbaji madini  pamoja na afya kwa watoto kuanzisha kibanda kwa kutaka kukigeuza kuwa Shule ya Msingi.
DC Palingo amefafanua zaidi kuwa kuendelea kuwaweka watoto katika mazingira hatarishi kama hapo kunawanyima haki yao ya  msingi kupata  Elimu,lakini pia wanakiuka sheria za  afya ya mtoto .
Akitoa elimu kwa wachimba madini hao Mjiolojia kutoka ofisi ya madini Tabora Ramadhani Muhode amefafanua madhara yatokanayo na  kemikali mbalimbali zinazotumika kuchenjua madini hayo kuwa zina athari  kwa upumuaji hasa watoto ambao hawafahamu namna ya kujilinda na pia sheria za madini haziruhusu binadamu mwenye umri chini ya miaka 18 kuwa katika eneo la mgodi."Wakubwa mnaweza kuvaa buti (gumboot), barakoa na hata kinga za mikono(gloves) kujilinda na kemikali hizo,vipi kuhusu watoto?mnaweza kuwavalisha hata barakoa?" .Ramadhan amefafanua
Kwa upande wake Afisa Mthibiti Mkuu Ubora wa Shule (W) Sikonge  Sidda Nassania ametoa Elimu kuhusu utaratibu wa kuanzisha shule akitaja baadhi ya taratibu ni mazingira ya kuanzisha shule yanapaswa kuwa salama,eneo kubwa, pia mchakato unapaswa kuanzia ngazi ya kijiji,Kata na Halmashauri hivyo kwa kuanzisha shule eneo hilo halikidhi vigezo.
Mkuu wa Wilaya ameambatana na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Rashid Magope,Kaimu Mkurugenzi Hashim Kazoka na viongozi wengine mbalimbali ambao wameahidi kuendelea kusimamia  maagizo na maelekezo yote yaliyotolewa.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa