• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

ALAT MKOA WA TABORA IMECHANGIA SHILINGI MIL.2 KUKAMILISHA UJENZI WA OFISI YA KATA TUTUO BAADA YA KUKOSHWA NA USIMAMIZI WA MIRADI WILAYANI SIKONGE

Imewekwa: February 4th, 2025

Na, Edigar Nkilabo

Wajumbe wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania ALAT Mkoa wa Tabora wamefanya ziara katika wilaya ya Sikonge na kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika kata za Sikonge na Tutuo ikiwemo mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Usupilo, shule ya msingi Dkt.Batilda pamoja na shule ya sekondari ya Amali ya mkoa inayogharimu shilingi bilioni 1.6 kupitia program ya kuboresha elimu ya sekondari SEQUIP.

Akizungumza kwa niaba ya wajumbe wa ALAT Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Mhe. Adam Malunkwi ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Sikonge kwa kusimamia vizuri fedha zinazotolewa na serikali kuu kwa ajili ya miradi ya elimu na afya pamoja na fedha za mapato ya ndani zinazoelekezwa katika ujenzi wa ofisi za kata.

“ALAT tunakabidhi milioni 2 kwa halmashauri ya wilaya ya Sikonge kuunga mkono juhudi zao za kutenga mapato ya ndani kwa ajili ya miradi mbalimbali hasa ujenzi wa ofisi ya Kata Tutuo,huu ni mfano wa kuigwa fedha hii ikasaidie kukamisha ujenzi”

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Mhe.Rashid Magope ameishukuru ALAT mkoa wa Tabora kwa kuunga juhudi za maendeleo kwa mali na hata kutoa ushauri kwa wataalamu na wasimamizi wa miradi inayotekelezwa wilayani Sikonge.

Baadhi ya Wajumbe wa ALAT mkoa wa Tabora wameipongeza halmashauri ya wilaya ya Sikonge kwa kusimamia vizuri miradi mbalimbali ambayo inatekelezwa kwa viwango stahiki vya wataalamu wa ujenzi na kuakisi thamani ya fedha.

 Ziara ya ALAT mkoa wa Tabora imejumuisha wataalamu wa Idara na vitengo mbalimbali kutoka Halmashauri zote  za mkoa wa Tabora.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa