Imewekwa: May 26th, 2018
NIMEFUNGUA MILANGO-RAS TABORA
RAS mpya wa Mkoa wa Tabora ndugu Msalika Makungu aanza kazi rasmi kwa kufanya ziara katika Wilaya za Tabora ambapo jana alikuwa katika Wilaya ya Sikonge. Alipata fursa...
Imewekwa: May 19th, 2018
WATENDAJI na Viongozi mbalimbali kuanzia ngazi za vitongoji hadi Wilaya wametakiwa kuhakikisha wanasimamia sheria na kanuni zilizopo ili kukomesha utoro na mimba za utotoni mkoani Tabora
Kauli hiyo...
Imewekwa: May 1st, 2018
Maadhimisho ya sherehe za MEI MOSI 2018 Wilayani Sikonge yamefanyika katika Kata ya Sikonge eneo la kiwanja kipya cha mpira wa miguu karibu na soko la TASAF ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Mkuu wa Wilay...