• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

ZIARA YA RAS WILAYANI SIKONGE

Imewekwa: January 14th, 2019

Ziara ya RAS wilayani sikonge

 Katibu Tawara wa Mkoa wa Tabora  Mhe. Musalika Makungu  afanya ziara ya kukagua miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa pamoja na vituo vya afya vilivyo katika Halmashauri ya wilaya ya sikonge mkoani Tabora.

Katika ziara hiyo pia aliambatana na wataalamu mbalimbali kutoka mkoani na wilayani sikonge. Ambao walikuwa wakitoa mawazo na kubaini changamoto zilizotokea katika ujenzi wa miradi hiyo huku Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Sikonge akiwa mwenyeji wa ziara hiyo.

Miongoni mwa miradi iliyokaguliwa ni pamoja na shule ya sekondari Pangale na kipili, Usunga,vituo vya Afya vya kitunda na kipili pamoja na mnada wa ng’ombe Mpombwe. Ambapo aliridhishwa na maendeleo ya miradi hiyo na kuwataka kumalizia sehemu zilizobakia ili wakabidhi tayari kwa matumizi.

Ukaguzi ukiendelea kituo cha Afya Kitunda.

Aidha  alipata nafasi ya kutembelea zahanati ya kipili na kustahajabu  kwa usafi na utoaji wa huduma unaofanywa na wataalamu wa Afya hao na kuwataka kuendelea vivyo hivyo ili na wengine kote nchini waige mfano wao.

Alisisitiza swala la usafi wa mazingira ikiwemo nyumba kuwa na choo bora jambo litakalosaidia kujiepusha na magonjwa ya mlipuko na kutia mkazo kwenye elimu huku akitolea mfano kuwa familia yenye wasomi huwa inamabadiliko ya kimaendeleo tofauti na familia zingine. Hivyo wazazi wawapeleke watoto wao shule na washiriki kuchangia ujenzi wa madarasa ili watoto waliokosa nafasi ya kujiunga na elimu ya sekondari kutokana na uhaba wa maadarasa waweze kupata mahali pa kusomea.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Sikonge pia alitoa shukrani kwa ugeni huo na kuhaidi kuyatendea kazi yale yote yalioagizwa na kuomba muda wa wiki mbili ili kukabidhi miradi hiyo. Ambapo alikaa na wataalamu wake na watendaji wa kata kujadili namna watakavyokabiliana na muda uliotolewa ili kukamilisha kazi iliyobakia na kuikabidhi.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa