• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

ZAIDI YA MILIONI 20 ZATOLEWA KUJENGA MADARASA, OFISI ZA WALIMU NA VYOO SHULE YA MSINGI KILOLELI-"RWAMBANO CUP"

Imewekwa: October 3rd, 2021

ZAIDI YA SH.MILIONI 20 ZATOLEWA KUJENGA MADARASA,OFISI ZA WALIMU NA VYOO SHULE YA MSINGI KILOLELI-"RWAMBANO CUP".

Mbuge jimbo la Sikonge,Mhe.Joseph Kakunda amechangia Sh.M 10.2 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa,ofisi za walimu pamoja vyoo shule ya Msingi Kiloleli alipokaribishwa akiwa Mgeni rasmi katika fainali ya mashindano ya mpira wa miguu maarufu kwa jina la "RWAMBANO CUP".

Mashindano hayo yalianzishwa na diwani kata ya Kiloleli Mhe.Gasto Rwambano kwa lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa, vyoo pamoja na ofisi za walimu shule ya Msingi Kiloleli.

Mhe.Rwambano amefanikiwa kukusanya  zaidi ya Sh.Milioni 9 zilizotokana na kiingilio kutoka kwa  wananchi waliohudhuria katika mashindano hayo tangu yalipoanzishwa.

Aidha,Mhe.Kakunda amempongeza Mhe.Rwambano kwa kuwa mbunifu katika kuleta maendeleo kata ya Kiloleli,huku akiwaasa Madiwani kata zingine kuiga mfano huo ili kuhamasisha maendeleo kwa wananchi wa Sikonge.

Fainali hiyo imehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya Mhe.John Palingo ambae pia amechangia Tsh.Laki moja, huku waheshimiwa madiwani kwa pamoja wakichangia zaidi ya Sh.laki mbili,na Viongozi mbalimbali wa CCM akiwemo Mwenyekiti Mhe.Anna Chambala.

Katika fainali hiyo iliyohusisha timu ya "Tumbaku FC" kutoka kata ya Kipanga imeibuka kidedea kwa kushinda gori moja(1) kwa nunge(0) dhidi ya "Kiloleli FC"ambao walikuwa wenyeji wa mchezo huo.


Na.Anna Kapama.

Matangazo

  • TANGAZO LA FURSA ZA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE September 10, 2025
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MIRADI 20 YAKAGULIWA NA KAMATI YA WATAALAMU (CMT) ROBO YA KWANZA KWA MWAKA WA FEDHA WA 2025/2026

    October 12, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE INAVYOIISHI KWA VITENDO KAULI YA “MTEJA NI MFALME” KWA KUTOA ELIMU NA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

    October 07, 2025
  • WAGONJWA ZAIDI YA 400 WAMEPATIWA MATIBABU YA KIBINGWA WILAYANI SIKONGE

    October 03, 2025
  • MAMBO SHWARI KWA KIDATO CHA TANO NA SITA SHULE YA SEKONDARI SIKONGE

    September 22, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa