• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

WATUMISHI MSIINGIE MIKATABA NA TAASISI ZA MIKOPO ZISIZO NA MIKATABA NA HALMASHAURI" DHRO SIKONGE.

Imewekwa: November 13th, 2021


WATUMISHI MSIINGIE MIKATABA NA TAASISI ZA MIKOPO ZISIZO NA MIKATABA NA HALMASHAURI" DHRO SIKONGE.

Mkuu wa  Idara ya Utawala na Rasilimali Watu (W), NICO KAYANGE amewaasa watumishi wa Umma kutokuingia mikataba ya Mikopo na taasisi binafsi za mikopo ambazo hazitambuliwi na Halmashauri kisheria.DHRO Kayange ambae pia amemuwakilisha Mkurugenzi Mtendaji(W) ameyasema hayo alipokutana na watumishi wa Umma baada ya kufanya Ziara ya kuwatembelea watumishi wa kata ya Tutuo na Mole  akifanya nao mazungumzo na kuwasikiliza changamoto na kero wanazokutana nazo wakiwa katika kutekeleza majukumu yao.

Aidha, DHRO Kayange amebainisha miongoni mwa mambo yanayotesa watumishi ni pamoja na mikopo kutoka kwa taasisi binafsi ambazo zimekuwa na mikataba na masharti ambayo wakati mwingine yamekuwa kero kwa watumishi na kuongeza kuwa  hali hiyo inapelekea watumishi kushindwa kusaidiwa na Halmashauri endapo changamoto zitawapata wakati wa ulipaji kutokana na Halmashauri kutozitambua taasisi hizo kisheria.Aidha,DHRO ametumia nafasi hiyo kuwaasa watumishi wote wa Umma Wilayani hapo kufanya kazi kwa nidhamu na Weledi wakifuata sheria za utumishi huku akiwataka kuwasilisha kero na changamoto zao kwa Mkurugenzi ili zitatuliwe na si kuzipeleka mahali pasipohusika.

Sambamba na hilo,DHRO Kayange  amewapongeza watumishi wakiwemo walimu na watoa huduma za Afya kwa kazi kubwa wanayoifanya ya  kutoa huduma stahiki kwa jamii na kwamba juhudi zao zimeonekana kuleta tija kwa wananchi wa Sikonge.Katika hatua nyingine baadhi ya watumishi waliohudhuria kikao hicho wamewasilisha changamoto na kero ambazo zimekuwa zikiwakwamisha kutekeleza baadhi ya majukumu yao ikiwemo changamoto ya upungufu wa vyombo vya usafiri Kama pikipiki kwa watendaji,bwana afya na maafisa maendeleo ya jamii kero .

Naye DHRO Kayange akimuwakilisha Mkurugenzi Mtendaji(W) ameahidi kushughulikia changamoto ambazo zimewasilishwa kwa wakati ili watumishi hao wafanye kazi katika mazingira rafiki.Mkurugenzi anaendelea na ziara katika kata zote 20 akiongozana wakuu wa Idara mbalimbali kuzungumza na watumishi wa Umma sambamba na kusikiliza changamoto zao.

Na.Anna Kapama

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa