• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

WATENDAJI WA KATA WASISITIZWA KUSHIRIKISHA WADAU WA MAENDELEO UPATIKANAJI WA CHAKULA SHULENI

Imewekwa: August 7th, 2025


Na Edigar Nkilabo

 

Watendaji wa Kata zote Wilayani Sikonge wameagizwa kuhakikisha chakula kinapatikana shuleni na watoto wote wanakula chakula pindi wanapokuwa shuleni kama serikali ambayo imekuwa ikisisitiza watoto wote kupata chakula shuleni.

Agizo hilo limetolewa Katika Ukumbi wa Halmashauri na Katibu Tawala Ndg.Andrea Ng’hwani wakati akiongoza kikao cha Tathimini ya Mkataba wa Lishe kwa ngazi ya Wilaya kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Sikonge ambapo amewataka Watendaji wa Kata kwenda shule moja baada ya nyingine kwaajili ya kupata taarifa sahihi za upatikanaji wa chakula shuleni na kuhakikisha watoto wote wanakula.

“Jamani hatuna haja ya kulialia kwa habari ya chakula shuleni nyie Watendaji wa Kata nendeni shule mkaangalie uhalisia wa takwimu za upatikanaji wa chakula shuleni ili wazazi wachangie lakini tusiwabane tu wazazi kuchangia chakula waoneni wadau wa maendeleo na wawekezaji katika kata zenu washirikisheni suala la chakula wawachangie”alisema.

Kwa upande wake Katibu wa Kikao hicho, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Ndugu Selemani Pandawe ametoa wito kwa Watendaji wa Kata kwenda kusimamia mapato na matumizi ya vijiji.

“Huko kwenye maeneo yenu mnamapato huru tumieni kwa mwongozo yaani msitumie zote kwa shughuli za vijiji tu, tengeni 60% ya fedha za maendeleo na matumizi mengine, kama mtazingatia hilo naamini kipo kiasi mtapata cha kuchangia kwenye chakula na sio kuelekeza fedha nyingi kwenye posho”alisema

Naye Afisa Lishe wa Wilaya ya Sikonge Bi.VeroFerdinard amesema kwa robo ya nne ya Aprili hadi June 2025 vijiji vyote 71 vya Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge vimeweza kutekeleza siku ya Afya na Lishe ya kijiji ambapo hii ni sawa na asilimia 100 ya utekelezaji wa kiashairia hicho.

Katika kikao hicho Kata 3 ambazo ni Chabutwa,Nyahua na Kilumbi zimepongezwa kwa utekelezaji mzuri wa Maadhimisho ya Siku ya Afya na Lishe ya Vijiji katika Kata zao .

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • NG’OMBE ELFU HAMSINI WACHANJWA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU KWA BEI YA RUZUKU YA SH.500 HUKU KUKU ZAIDI YA LAKI NNE WAKICHANJWA BURE CHANJO YA KIDERI,NDUI NA MAFUA YA KUKU.

    August 29, 2025
  • USALAMA WA RAIA NA MALI ZAKE NI JUKUMU LETU SOTE WANANYAHUA

    August 26, 2025
  • WANAFUNZI 54 WAHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA ( MGAMBO) WILAYANI SIKONGE

    August 25, 2025
  • KAMATI YA WATAALAMU HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE IMEKAGUA MIRADI YA ELIMU NA AFYA KATIKA KATA ZA KITUNDA NA KILOLI ROBO YA NNE

    August 13, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa