• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

WATENDAJI NGAZI YA KIJIJI HADI WILAYA WAKUMBUSHWA WAJIBU WAO

Imewekwa: May 19th, 2018

WATENDAJI na Viongozi mbalimbali kuanzia ngazi za vitongoji hadi Wilaya wametakiwa kuhakikisha wanasimamia sheria na kanuni zilizopo ili kukomesha utoro na mimba za utotoni mkoani Tabora

Kauli hiyo ilitolewa jana wilayani Sikonge na Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri wakati wa kampeni zake za kutekeleza agizo la Waziri Mkuu alilolitoa wakati akizindua mbio za Mwenge wa Uhuru Mwaka huu na kuutaja Mkoa huo kuwa miongoni mwa mikoa inayoongoza kwa utoro.

Alisema, haiwezekani aibu hiyo ikaendelea mkoani humo wakati upo mfumo wa serikali kuanzia ngazi ya kitongoji unaweza kusimamia jambo hilo la kulikomesha kwa kusimamia sheria na kanuni zilizopo ili kuwabana watoto watoro na wazazi wao.

Mwanri alisema kila mtu kuanzia mzazi, mwenyekiti wa kijiji, mtendaji kijiji, kata na Maafisa elimu kata wanatakiwa kusimamia majukumu yao kwa mujibu wa waraka  wa elimu mwaka 2002 ili kukomesha utoro wa wanafunzi. Alisema hayo akihitimisha ziara yake katika Wilaya ya Sikonge ambapo alitembelea mradi wa ujenzi wa madarasa 5 na matundu ya vyoo 6 katika Shule ya Msingi Sikonge ambapo pia alipata furusa ya kutembelea darasa la pili na kujionea namna wanavyofundishwa stadi ya KKK na pia mradi wa ufugaji kuku ambao umepatiwa fedha na EQUIP-TZ kupitia mradi wao wa IGA.

Mthibiti ubora wa Shule Kanda ya Magharibi Kashindye Athumani aliwataka Maafisa Elimu Kata kutekeleza jukumu lao la kuthibiti ubora katika maeneo yao kwa kutembelea mara kwa mara katika shule zilizopo kwenye maeneo yao ikiwani kutaka kujua kama wanachofundishwa wanafunzi ni kile kilichoagizwa na pia kupambana utoro wa walimu na wanafunzi.

Alisema walimu wakuu nao wadhibiti utoro katika shule zao kwa kuangalia mahudhurio ya walimu na wanafunzi.

Aidha Kashindye aliwataka kuimarisha vitengo ushauri nasaha na nasihi ili kuwasaidia watoto kwa ajili ya kuepukana na utoro na mimba za utotoni shuleni kwao.

Alisema kuwa wasimamizi wa vitengo hivyo ni vema wakawa ni wale ambao wanaokubalika kwa wanafaunzi wengi ambao wanaweza kuwasikiliza na kukubalika sana kwa wanafunzi  ili wanafunzi wawe na nafasi ya kupeleka na kueleza shida zao kwa uwazi bila kuogopa.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa