• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

WATEKETEZA NYAVU HARAMU

Imewekwa: February 4th, 2019

WATEKETEZA NYAVU HARAMU.

Jumla ya nyavu haramu 8 zateketezwa kwa moto katika Halmashauri ya wilaya ya Sikonge iliyopo mkoani Tabora.

Nyavu hizo ziliteketezwa na wataala wa sekta ya uvuvi kupitia Idara ya Mifugo na Uvuvi  katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge baada ya kufanya  Doria katika makambi ya uvuvi yaliyopo katika Mto Walla na bwawa la Igumila yote yanapatikana Sikonge na kubaini jumla ya nyavu 9 zilizokuwa zikitumika kuvua samaki walio chini ya kiwango kilichowekwa na mamlaka husika.

Wataalamu hao waliteketeza nyavu 8 kati ya nyavu 9 zilizokamatwa ambapo nyavu moja ilichukuliwa kama mfano wa kutolea elimu kwa jamii kuhepuka matumizi ya nyavu kama hizo kwani yanahatarisha raslmali za majini ikiwemo uvuvi wa vifaranga vya samaki.

Mtaalamu wa Uvuvi Bwana Evodius Wilbard akiteketeza nyavu haramu zilizokamatwa wakati wa doria.

Doria hiyo ililenga kutokomeza uvuvi haramu kwa kukagua wote waliopewa vipali kama wanavua kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu ambazo ziliwekwa kaatika kibali ambacho walikabidhiwa wavuvi hao.

Akitolea ufafanuzi Afisa Uvuvu wa Halmashauri ya Sikonge Bwana Evadius Wilbard alisema lengo la doria lilikuwa ni kuhamasisha wananchi kukata leseni Halali za uvuvi  ili wapate sifa ya kuvua kwenye mabwawa na mito  ambayo yameruhusiwa.

Ikumbukwe mwishoni mwa mwezi wa kwanza mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Peter Nzalalila aliagiza wataalamu kwenda kuhamasisha wananchi juu ya uvuvi na namna ya kupata leseni kwani kumekuwa na malalamiko ya baadhi ya wanachi walioko maeneo yanayozunguka bwawa hulo kuhusu wao kunyimwa vibali vya kuvua katika mabwawa hayo na vibali hivyo kupewa watu wanaotoka maeneo mengine.

Bwana Wilbard alifafanua kuwa elimu kwa wananchi inaendelea kutolewa kwani wengi wao bado wana dhana ya kuwa wao ni wazawa wa eneo husika hivyo hawaoni umuhimu wa kupewa leseni lakini kutokana na uhamasishaji unaoendelea wananchi wamekubali kuyapokea mabadiliko hayo na wamehaidi kutoa ushirikiano ikiwa ni pamboja na kukata kibali.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa