• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

WATAALAMU WA BODI YA BONDE LA ZIWA TANGANYIKA WASISITIZA ELIMU ITOKEWE KATIKA KUTUNZA VYANZO VYA MAJI_SIKONGE.

Imewekwa: September 16th, 2022

Na.Anna Kapama


Wataalamu kutoka Bodi ya Bonde la Ziwa Tanganyika wamefika Wilaya ya Sikonge Kata ya Ngoywa katika Kidakio Cha Mto Ulua kukagua na kutazama mienendo ya njia za Maji ya Mto huo.


Katika ukaguzi huo wataalamu hao wamewaasaa Wananchi hasa wafugaji na wakulima kutoendesha shughuli za binadamu katika vyavzo hivyo na badala yake ikiwa wanataka kutumia Maji ya Mto huo wafuate taratibu sahihi ili kutoathiri mkondo huo wa Mto.


Akizungumza na Viongozi wa Kijiji hicho Afisa kutoka Bodi ya Maji ya Bonde la Ziwa Tanganyika Mhandisi Gaudens Ndolo amesema wananchi wanapaswa kufata taratibu na sheria za utunzaji wa Vyanzo vya Maji zilizowekwa.


"Wananchi wanaruhusiwa kuendesha shughuli zao umbali wa Mita 60 kutoka kwenye Chanzo Cha Maji, sasa kuna watu waliojenga matuta wakichepusha Maji, kwa kufanya hivyo wanauzuia Mto kuendelea ,niwashauri waombe kibali kutoka mamlaka husika wataelekezwa namna Bora ya kutumia pasipo kuathiri Mto huo" Mhandisi Ndolo


Kwa Upande wake Mwenyekiti wa Kijiji Cha utimule Charles Edward amesema Uongozi wa Kijiji utahakikisha wananchi wanapata Elimu ya kutosha ili waweze kutunza Kidakio hicho.

"Nawashukuru wataalamu kwa kuja kutupa Elimu hii,,sisi Viongozi tutasimamia, na watakaokaidi tutawawajibisha" Bw.Charles Edward amefafanua.


Kidakio Cha Mto Ulua kimekuwa na tija kwa wananchi wa Kata ya Ngoywa na maeneo mengine katika Shughuli za Kilimo na Ufugaji hali inayopelekea wataalamu wa Bonde la Ziwa Tanganyika kufika kutoa Elimu ya utunzaji wa chanzo hicho ili kidumu kwa muda mrefu.

Matangazo

  • TANGAZO LA FURSA ZA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE September 10, 2025
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • PIKIPIKI 10 ZENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 35 ZAKABIDHIWA KWA WATENDAJI WA VIJIJI

    September 03, 2025
  • NG’OMBE ELFU HAMSINI WACHANJWA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU KWA BEI YA RUZUKU YA SH.500 HUKU KUKU ZAIDI YA LAKI NNE WAKICHANJWA BURE CHANJO YA KIDERI,NDUI NA MAFUA YA KUKU.

    August 29, 2025
  • USALAMA WA RAIA NA MALI ZAKE NI JUKUMU LETU SOTE WANANYAHUA

    August 26, 2025
  • WANAFUNZI 54 WAHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA ( MGAMBO) WILAYANI SIKONGE

    August 25, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa