• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

WATAALAM TOKA PPRA WAENDESHA MAFUNZO YA MFUMO WA UNUNUZI WA UMMA (NeST) KWA WADAU MBALIMBALI WILAYANI SIKONGE.

Imewekwa: April 2nd, 2024

PPRA YAENDESHA MAFUNZO YA MFUMO WA UNUNUZI WA UMMA (NeST) KWA WADAU MBALIMBALI WILAYANI SIKONGE.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndg. Seleman Pandawe amepokea timu ya wataalam toka Mamlaka ya Udhibiti wa ununuzi wa umma kanda ya kati na magharibi waliofika kuendesha mafunzo ya mfumo wa ununuzi wa umma kwa wadau mbalimbali katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge.

Akieleza dhima nzima ya mafunzo hayo Kaimu Meneja wa PPRA kanda ya kati na magharibi Bi. Suma Atupele amesema lengo la mafunzo hayo ni kuwafikia wadau moja kwa moja na kutatua changamoto zao wanazokutana nazo wanapokuwa wakitumia mfumo wa ununuzi wa umma (NeST).

Ametoa wito kwa wajasiriamali wadogo wadogo wasiogope kutumia fursa  zinazotokana na mfumo huu mpya wa ununuzi wa umma kwa kigezo cha kuwa na mitaji midogo na amesisitiza maafisa biashara kuendelea kuwasaidia wafanya biashara hao kujisajili kwa wingi.

Vilevile amesisitiza wadau kufanya makisio halisi kwa kuzingatia jiografia ya eneo husika ambapo mradi unatekelezwa. “Thamani halisi ya kile kinachojengwa lazima  ionekane,gharama za miradi ziende sambamba na gharama za usimamizi wa miradi hiyo,huwezi kuwa na mradi usio na gharama za usimamizi.amesema Bi. Atupele.

Mafunzo hayo yamegusa makundi mbalimbali ya wadau wa mfumo wa ununuzi wa umma wakiwemo,Waganga wafawidhi,Walimu wakuu,Wakuu wa shule,Watendaji wa Kata,Wakuu wa Divisheni na Vitengo,Wazabuni pamoja na mafundi ujenzi.

Mwisho amewapongeza sana Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge kwa kufanya uratibu mzuri wa  zoezi la mafunzo haya kuweza kufanyika kwa  muda mfupi wa maandalizi, lakini pia amempongeza Mbunge wa jimbo la Sikonge Mhe. Joseph George Kakunda kwa hoja yake aliyoiwasilisha PPRA kuwatetea mafundi ujenzi (local fundi) wa Sikonge nao waweze kupatiwa elimu ya mfumo mpya wa ununuzi wa umma ,kwani hapo awali mafundi hawa walipokuwa wakiingia katika mfumo huu walikuwa wanashindwa kuona  kazi wanazotaka kuziomba .

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa