• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

WANUSURIKA KIFO

Imewekwa: February 22nd, 2019

WANUSURIKA KIFO 

Abiria kadhaa waliokuwa safarini kutokea Mpanda kuelekea Arusha  wanusurika kufa baada ya gari walilokuwa wanasafiria  kuacha njia na kupinduka

Gari hilo lenye namba T619 kampuni ya Coast Line lilipata ajali  eneo la Koga kata ya Ipole wilayani Sikonge Mkoani Tabora amapo kwa kawaida hufanya safari zake kati ya Mpanda na Arusha.

Akizungumzia namna tukio lilivyotokea mmoja wa maafisa wa usalama barabarani ambaye pia alikuwa eneo la tukio alisema kuwa majira ya saa nne asubuhi kulitokea ajari maeneo hayo huku akimtaja dereva aliyefahamika kwa jina la Adam Titi kuwa aliendesha upande usio sahii kwake ambapo alikutana na janksheni iliyopelekea gari hilo kukosa muelekeo na hatimaye kupinduka.  Afisa huyo alitaja chanzo kuwa ni uzembe wa dereva ndio uliopelekea kutokea kwa tukio hilo.

Naye muuguzi Muhudumu wa Hospitali ya Misheni Bi. Veronica Zakaria  alithibitisha kupokea majeruhi wawili ambao ni Amina Yohana (40) pamoja na Leticia Christian (23) walio pata mshituko wakati wa ajari  na kusema kuwa waliwapatia huduma ya kwanza na hali zao zilikuwa zinaendelea vizuri.

Katibu Tawala wa Wilaya ya Sikonge akipokea Maelezo ya mmoja wa Majeruhi aliyelazwa katika Hospitali ya Misheni

Akisimulia alivyoweza kunusulika Bi Amina alipongeza sheria za usalama  barabarani zinazowataka abiria wote kufunga mkanda wawapo safarini kwani jambo hilo limeweza kumuokoa yeye kupata majeraha makubwa zaidi kwani alikuwa amefunga mkanda.

Akitoa pole kwa niaba ya mkuu wa wilaya, katibu tawala wa Wilaya ya Sikonge Renatus Mahimbali. Aliwaasa madereva wote kufata kanuni na taratibu za barabarani kwa wanakuwa wamebeba maisha ya watu sanjari na hayo pia wanatakiwa kuwalinda hata watumiaji wa barabara kwani uzembe unahepukika

Kuntu ya hayo  Mahimbali Pia alifika eneo la tukio ili kujionea hali halisi ya nammna ajali ilivyotokea pamboja na kuwatembelea majeruhi walio lazwa katika kituo cha afya Misheni ili kuwajulia hali na kuangalia namna watakavyowasaidia baada ya kupatiwa matibabu waendelee na safari zao.

Matangazo

  • TANGAZO LA FURSA ZA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE September 10, 2025
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MIRADI 20 YAKAGULIWA NA KAMATI YA WATAALAMU (CMT) ROBO YA KWANZA KWA MWAKA WA FEDHA WA 2025/2026

    October 12, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE INAVYOIISHI KWA VITENDO KAULI YA “MTEJA NI MFALME” KWA KUTOA ELIMU NA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

    October 07, 2025
  • WAGONJWA ZAIDI YA 400 WAMEPATIWA MATIBABU YA KIBINGWA WILAYANI SIKONGE

    October 03, 2025
  • MAMBO SHWARI KWA KIDATO CHA TANO NA SITA SHULE YA SEKONDARI SIKONGE

    September 22, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa