• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

WANAWAKE NA UONGOZI

Imewekwa: March 8th, 2019

WANAWAKE NA UONGOZI

Wanawake waaswa kugombea nafasi Mbali mbali za uongozi katika uchaguzi wa serikali za Mitaa unaotegemewa kufanyika mwishoni mwa mwaka 2019.

Kauli ambayo ilitolewa na Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Mhe. Peres Magiri kwenye maazimisho ya siku ya wanawake duniani ambayo kiwilaya yalifanyikia kata ya Misheni Wilayani Sikonge.

Siku hiyo ambayo huadhimishwa Machi 8 kila mwaka na kwa mwaka huu ikiwa imebeba kauli mbiu ya “Badili Fikra kuelekea Usawa wa Kijinsia na Maendeleo Endelevu’’

Mhe. Magiri alisisitiza wanawake kujitokeza kuwania nafasi mbali mbali zitakapotangazwa ili kuwawezesha kufikia usawa wa kijinsia kama wanavyoudai katika kauli mbiu yao ya mwaka huu.

Akitolea mifano ya wanawake mbali mbali ambao wamepata nafasi za juu katika serikali ya awamu ya tano chini ya Mhe. John Pombe Magufuri. Mkuu wa wilaya amewataja Mama samia, Ummy Mwalimu na Dkt. Tulia kama wanawake wanaofanya vizuri baada ya kuaminiwa na kupewa uongozi.

Wanawake wa Wilaya ya Sikonge wakiwa katika Maandamano

Hivyo basi ni wito wake kuwaona wanawake wa Wilaya ya Sikonge wakifika mbali zaidi kwani hata kwenye Baraza la Madiwani Wilayani hapa kumekuwa na idadi kubwa ya wawakilishi wanawake jambo ambalo ni kielelezo tosha cha namna mama anavyoweza.

Katika sherehe hiyo iliyopambwa na vikundi mbalimbali vya Burudani ilianza kwa maandamano kutokea Barabara ya Migundini mpaka viwanja vya misheni ambapo baadae kwaya maalumu iliimbwa ikipongeza jitihada za wanawake na kukumbushia mazuri yote yaliyofanywa na wanawake waliopewa nafasi.

Shule ya Sekondari kamagi nao hawakubaki nyuma kwa kutoa igizo la jinsi ya kumsaidia mtoto wa kike apate elimu.

Ikumbukwe kuwa Halmashauri ya Sikonge inaongozwa na Mkurugenzi Mwanamke ambaye ni Bi. Martha Luleka wakati huohuo Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Sikonge naye ni Mwanamke Bi. Anna Chambala, kuntu ya hayo idadi kubwa ya Madiwani wanawake jimbo hili limekuwa jambo la kujivunia wanawake waishio wilaya hii kwani wametendewa haki hata kwenye uongozi ukiachilia mbali watumishi wanawake waliopo katika idara nyingine za kiutumishi.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa