• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

WANANCHI WAHIMIZWA KUCHANGIA MIRADI YA MAENDELEO KWA HIARI.

Imewekwa: September 27th, 2021

WANANCHI  WAHIMIZWA KUCHANGIA MIRADI YA MAENDELEO KWA HIARI.
Akiendelea na ziara yake katika kata 20 za Wilaya ya Sikonge,Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe.John Palingo ameendelea na kampeni ya ujenzi wa vyumba vya madarasa kata ya Kilumbi na kuwasisitiza wananchi kuchangia ujenzi wa maboma ili waweze kukabiliana na changamoto ya upungufu wa madarasa katika Shule za Msingi na sekondari huku akionyesha mfano  kwa kuchangia Sh.laki  moja inakayosaidia ujenzi wa madarasa hayo.
DC Palingo ameyasema hayo alipotembelea Shule ya Msingi Mwamalugu huku akiwataka  walimu na wananchi kuhakikisha wanafunzi katika shule za Msingi  na Sekondari zote zilizopo kata hiyo wanapata chakula wawapo shuleni.
Kwa upande wake diwani wa Kata ya Kilumbi, Mhe.Mayeka Mbusa ameahidi kusimamia zoezi la upatikanaji wa chakula shuleni sambamba na kuwahamasisha wananchi kujitolea kujenga maboma ya madarasa ili serikali kupitia tozo za miamala iweze kutoa fedha za ukamilishaji wa madarasa hayo.
Mhe.Palingo ametembelea vijiji mbalimbali vikiwemo Majojoro,Kilumbi,Mwamalugu na Mtendeni akihamasisha ujenzi wa madarasa, Chanjo ya UVIKO-19,pamoja na kusikiliza kero za Wananchi sambamba na Kukagua miradi ya maendeleo.
 Na.Anna Kapama.

Matangazo

  • TANGAZO LA FURSA ZA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE September 10, 2025
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MIRADI 20 YAKAGULIWA NA KAMATI YA WATAALAMU (CMT) ROBO YA KWANZA KWA MWAKA WA FEDHA WA 2025/2026

    October 12, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE INAVYOIISHI KWA VITENDO KAULI YA “MTEJA NI MFALME” KWA KUTOA ELIMU NA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

    October 07, 2025
  • WAGONJWA ZAIDI YA 400 WAMEPATIWA MATIBABU YA KIBINGWA WILAYANI SIKONGE

    October 03, 2025
  • MAMBO SHWARI KWA KIDATO CHA TANO NA SITA SHULE YA SEKONDARI SIKONGE

    September 22, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa