• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

CHAMA CHA WAFUNGAJI WA NYUKI,KIPANGA BEEKEEPERS KUNUFAIKA NA MRADI WA UJENZI WA KITUO CHA KISASA CHA KUKUSANYIA MAZAO YA NYUKI SIKONGE.

Imewekwa: March 25th, 2024

Na. Robert Magaka – Sikonge.

Timu ya wataalam kutoka Mkoa wa Tabora pamoja na Wilaya ya Sikonge wametembelea kijiji cha Kipanga  kuongea na wanachama wa chama cha  wafugaji wa nyuki  juu ya mradi wa kituo cha kukusanyia mazao ya nyuki kinachotarajiwa kujengwa hivi karibuni katika kijiji cha Kipanga kilichopo kata ya Kipanga wilayani Sikonge.

Wataalam hao ni pamoja na Bw. Nyassary Goshashy,Afisa wa Maliasili wa mradi wa BEVAC kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora,Bw. Jordan Kabyemela,Mhandisi toka Enabel,Bw. Daniel Bikora,Mratibu wa mradi wa BEVAC kanda ya Tabora pamoja na Afisa Nyuki Wilaya ya Sikonge Bw. Samwel Samumba.

Akiwasilisha mpango wa mradi huo  Bw. Bikora amesema kituo hicho kitasaidia kutunza mazao ya nyuki kwa ustadi na ubora unaotakiwa na kusababisha thamani ya mazao hayo kutoshuka,kwani utunzaji wa mazao ya nyuki nyumbani unaweza kusababisha kupotea kwa thamani ya mazao ya nyuki na kuathiri soko lake kwa wafugaji hao.

Mradi huo utaghalimu kiasi cha shilingi Milioni 106 mpaka kukamilika.Utekelezaji wa mradi huo utazingatia ushirikishwaji wa wanachama kwa kuchangia baadhi ya  gharama ikiwa ni pamoja na nguvu kazi,utoaji wa eneo litakalotumika kujenga kituo hicho,ujenzi wa choo,upatikanaji wa samani za ofisi ya kituo hicho pamoja na gharama za kuingiza umeme katika jengo hilo.

Kituo hicho cha kukusanyia mazao ya nyuki kitakwenda kuinua uchumi wa wafuga nyuki kwa kuwaunganisha moja kwa moja na mfumo wa stakabadhi ghalani na hivyo kukomesha uwepo wa walanguzi wanaofaidika  peke yao na kuwaacha wafungaji katika lindi la umasikini.

Chama cha wafugaji wa nyuki “Kipanga Beekeepers” wapatao 184 wamepokea mradi huo kwa shangwe na ari ya kushiriki kikamilifu katika mradi huo huku diwani wa kata hiyo Mhe. Yuda William Mbegani akisisitiza mshikamano na kujitoa ili kufanikisha mradi huo wa kimkakati.

Wilaya ya Sikonge inakwenda kuwa mnufaika wa kwanza wa mradi huo kwa  kanda ya Tabora na iwapo mradi huu utaonesha ufanisi katika biashara ya mazao ya nyuki vituo vingi zaidi  vitakwenda kujengwa katika Wilaya ya Kaliua Mkoani Tabora  na mikoa mingine ya Shinyanga na Singida.

BEVAC (The Beekeeping Value Chain Support) ni shirika lisilokuwa la kiserikali linalojihusisha na mradi wa kuongeza mnyororo wa thamani ya mazao ya nyuki Tanzania.


Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa