• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

WALIMU ZAIDI YA 200 WA SHULE ZA MSINGI WILAYANI SIKONGE WAPEWA MAFUNZO YA KUFUNDISHA SOMO LA KIINGEREZA.

Imewekwa: May 21st, 2025

Na Linah Rwambali


Zaidi ya walimu 200 wa shule za Msingi kutoka Kata mbalimbali Wilayani Sikonge wamepatiwa mafunzo ya namna ya kufundisha somo la Kiingereza kwa watoto wa darasa la kwanza.

Mafunzo hayo yaliyofanyika katika vituo viwili Wilayani Sikonge ambavyo ni shule ya Sekondari Kamagi na Elimu maalum yametolewa kwa lengo la kuwajengea walimu uwezo wa kufundisha somo hilo kwa usahihi haswa katika kipengele cha matamshi na hatimaye kutengeneza msingi mzuri kwa wanafunzi wa  darasa la kwanza.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo Afisa Mwandamizi Idara ya Msingi Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Bi.Mbutwole Emmanuel amesema mafunzo hayo yanatolewa kwa walimu wa darasa la kwanza sababu wamegundua msingi wa somo la Kingereza kwa darasa la kwanza ni mbovu.

Aidha Bi.Mbutwole amesema wamewaita walimu wakuu katika mafunzo hayo ili wajue kile ambacho walimu wao wa lugha watafundishwa katika mafunzo hayo na kwenda kuleta mabadiliko kwa wanafunzi katika somo la kiingereza.

 “Tunataka kutengeneza uelewa na ufaulu wa somo la Kingereza kwa kuwajengea watoto msingi mzuri. Tunaamini wanafunzi wa darasa la kwanza wakifundishwa vyema  wataweza kuzungumza lugha ya kingereza kwa urahisi na kukomesha uwepo wa idadi ya wanafunzi wasioweza kuzungumza lugha hiyo hapo badae” amesema.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Ndugu Nico Kayange ameishukuru wizara ya Elimu kwa mafunzo hayo na kuwataka walimu kufuatilia vyema yale watakayofundishwa.

“Fuatilieni kwa makini mafunzo mtakayopewa, ulizeni maswali mahali ambapo hamtaelewa ili muondoke na uelewa wa kutosha wa kufundisha somo la kingereza kwa watoto wa darasa la kwanza”

Naye Mwenyekiti wa mafunzo na Mwalimu wa shule ya Msingi Chabutwa ambae ni moja ya walimu waliohudhuria katika mafunzo hayo Ndugu Athumani Kalunguyu, ameishukuru serikali kwa kuwaandalia mafunzo hayo na kuahidi kwa niaba ya wenzake kuwa watakua watulivu na kusikiliza kwa makini mafunzo yote watakayopewa ili watoto wakanufaike na ujuzi watakaoupata.

 Mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais TAMISEMI yamezinduliwa na kuanza kutolewa leo na yanatarajiwa kuhitimishwa Mei 23, ambapo hivi sasa Halmashauri saba zimeshapata mafunzo hayo kati ya Halmashauri nane za Mkoa wa Tabora.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA MTEULE WA WILAYA YA SIKONGE MHE.THOMAS MYINGA ALA KIAPO KUANZA KAZI RASMI AKIRITHI MIKOBA YA MTANGULIZI WAKE MHE.CORNEL MAGEMBE

    July 02, 2025
  • WATUMISHI WA UMMA WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE WAPIGWA MSASA JUU YA MATUMIZI YA MFUMO WA E-UTENDAJI (PEPMIS)

    June 25, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAPATA HATI INAYORIDHISHA TAARIFA YA UKAGUZI YA MWAKA 2023/2024

    June 14, 2025
  • UBORESHAJI WA HUDUMA ZA AFYA WAPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA MTOTO KUTOKA 74% HADI 43% WILAYANI SIKONGE

    June 13, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa