• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

WAKULIMA SIKONGE WASISITIZWA KUJISAJILI KUPATA MBOLEA YA RUZUKU.

Imewekwa: October 28th, 2022

Sikonge_Tabora


Na.Anna Kapama


Wakati zoezi la usajili wa wakulima kwa ajili ya kupata mbolea ya ruzuku ya Serikali likiendelea Afisa Kilimo na Ushirika Wilaya ya Sikonge Hashim Kazoka anaendelea kuwasisitiza wakulima Wilayani hapo kujitokeza kwa ajili ya kujiandikisha na kusajiliwa kwenye Mfumo wa ruzuku ya Serikali katika Ofisi za Vijiji bure.


"Mkulima akijiandikisha kwenye Ofisi ya Kijiji akasajiliwa anaweza kupata mbolea kwa bei ya Tsh 60,000/= hadi Tsh.70,000/= badala ya Tsh.120,000 hadi Tsh.140,000 kwa mfuko mmoja Wa kilo 50 kwa mawakala wa Usambazaji wa mbolea watakaokuwa wamewekwa, hivyo wakulima waendelee kujiandikisha kwa kuwa zoezi bado linaendelea " Kazoka


Aidha, Bw.Kazoka ameongeza kuwa mpaka sasa wakulima zaidi ya 13,000 Wilaya ya Sikonge wamejiandikisha na kusajiliwa kwenye Mfumo kwa Msimu wa Kilimo 2022/2023.


Kwa Upande wao baadhi ya wakulima wameishukuru Serikali kwa kuwashika Mkono wakulima ambao wanatarajia kujikwamua kiuchumi kupitia Kilimo ambapo awali walishindwa kumudu gharama za Kilimo kutokana na kupanda kwa bei ya Mbolea hivyo kupelekea wengi wao kutojihusisha shughuli za Uzalishaji kupitia kilimo.


"Kwa kweli naishukuru Serikali ya mama Samia ,kupitia kushuka kwa bei ya mbolea nategemea kulima na kujikwamua kiuchumi tofauti na mwaka jana ambao sikulima kabisa" Mkazi wa Kijiji Cha tulieni_sikonge


Katika mwaka wa fedha wa 2022/2023, Serikali imepanga kutoa ruzuku ya mbolea kwa wakulima nchini. Mpango unaolenga kupunguza gharama ya mbolea kwa wakulima ili kuongeza uzalishaji na tija katika kilimo na kuimarisha usalama wa chakula. Ruzuku itatolewa kwa wakulima waliosajiliwa kupitia daftari maalum ngazi ya Kijiji na kuingizwa kwenye mfumo wa kieletroniki.


#kaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA FURSA ZA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE September 10, 2025
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MAAFISA MIFUGO WILAYANI SIKONGE WAASWA KUWAJIBIKA

    October 16, 2025
  • MIRADI 20 YAKAGULIWA NA KAMATI YA WATAALAMU (CMT) ROBO YA KWANZA KWA MWAKA WA FEDHA WA 2025/2026

    October 12, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE INAVYOIISHI KWA VITENDO KAULI YA “MTEJA NI MFALME” KWA KUTOA ELIMU NA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

    October 07, 2025
  • WAGONJWA ZAIDI YA 400 WAMEPATIWA MATIBABU YA KIBINGWA WILAYANI SIKONGE

    October 03, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Matangazo
  • Zabuni
  • Matukio
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa