• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

WAJASILIAMALI TABORA WAULA

Imewekwa: December 19th, 2018

Wajasiliamali tabora waula.

Mkoa wa tabora wazindua rasmi vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama wamachinga. Ikiwa ni kutekeleza agizo la Mhe. Raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.

Uzinduzi huo ulihuzuliwa na wakuu wa wilaya, wakurugenzi, wenyeviti wa Halimashauri naviongozi wa ulinzi na wafanyabiashara, vilevile kulikuwa na maandamano ya wafanyabiashara ambao waliomba kuandamana ili kumpongeza Dkt. Magufuli kwa kuuthamini na kuutambua mchango wao katika sekta ya uchumi wa viwanda.

Mkuu wa wilaya ya Sikonge Mhe. Peres Magili akiandamana na wafanyabiashara

Akizindua vitambulisho hivyo mkuu wa mkoa wa Tabora Mhe. Agrey Mwanri alisema kuwa mkoa wa Tabora ulipokea jumla ya vitambulisho elfu ishirini na tano (25,000) na kila wilaya imekabidhiwa  vitambulisho 3125, ambapo alisisitiza kuwa vitambulisho hivyo vitatolewa bure kwa wafanyabiashara wenye mtaji chini ya shilingi milioni nne kwa mwaka ila mfanyabiashara atachangia shilingi elfu ishirini tu.

Mwanri alisema ‘’jitihada za raisi ni kuinua wanyonge ili kuelekea uchumi wa viwanda hivyo ni razima tuwashike mkono wafanyabiashara hawa wadogo, tukiwaacha watatumbukia shimoni” aliongeza kuwa “ ni marufuku kwa machinga yeyote kusumbuliwa katika biashara yake, mama ntilie kumwagiwa vyakula vyao iwe mwiko”

Mbali na hayo mkuu wa mkoa pia alisisitiza majosho na ranchi zote zilizopo katika Halimashauri  za mkoa Tabora zifufuliwe. Pia kila wilaya itapatiwa matrekta ili kurahisisha kilimo cha kisasa. “ ni marufuku kilimo cha ovyo ovyo katika mkoa wa Tabora” Pia aliusifia mkoa wa sikonge kwa uzalishaji wa asali na Tumbaku.

Mkurugenzi mtendaji wa Halimashauri ya wilaya ya Sikonge Mhe. Martha Luleka akifurahia jambo wakati wa uzinduzi.

Akipokea vitambulisho mkuu wa wilaya ya Sikonge Ndg. Pelesi  aliwasisitiza wafanyabiasha kuvitunza vizuri vitambulisho hivyo na kusema  kuwa vitatolewa kwa haki. Wanaostahili kupewa wote watapewa.


Wafanya biashara pia waliahidi kuzingatia miongozo yote iliyotolewa na kutunza kutunza vitambulisho. Waliiomba serikali kuwatengea maeneo mahalumu ya kufanyia biashara pia kuongeza vitambulisho hivyo hadi kijijini na kuziomba taasisi za kifedha kuvitumia kuwapatia mikopo.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa