• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

VIONGOZI WA WILAYA WACHIMBA MSINGI

Imewekwa: March 5th, 2019

VIONGOZI WA WILAYA WACHIMBA MSINGI

Mkuu wa wilaya ya Sikonge  Mhe. Peres Magiri ashiriki kuchimba msingi wa ujenzi wa Hospitali ya wilaya ya sikonge ikiwa ni jitihada za kuiunga mkono serikari ya awamu ya tano.

Kampeni hiyo iliyoandaliwa na mwenyekiti wa Halmashauri ya Sikonge Mhe. Peter Nzalilila ilifanyika katika eneo maaalum lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya wilaya ambalo lipo kijiji cha Mlogolo kata ya Sikonge.

Watu mbali mbali walishiriki katika uchimbaji huo akiwemo mwenyekiti wa CCM, Wilaya, Waheshimiwa madiwani, viongozi wa dini pamoja na wananchi wa Sikonge.

Akizungumza na wananchi hao Mkuu wa Wilaya alisema kuwa pesa zilizotolewa na Selikari  ambazo ni kiasi cha Tsh. Bilioni 1.5 zinatakiwa kutumika kwa umakini mkubwa vilevile aliwahasa wananchi kushiriki kwa kujitolea nguvu kazi, kwani mradi huu umeletwa kwa wanachi hao na unalenga kuwanufaisha wana Sikonge na watanzania wote kwa ujumla.

Wananchi wa Sikonge wakishiriki kuchima Msingi kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya.

Wananchi pia walikuwa na neno la shukrani ambapo dua maalum ilisomomwa na shehe aliyewaombea viongozi wote kuendelea kuwa na hekima na kuwaongoza katika kufanya mambo mema na yenye tija katika nchi hii. Sanjari na hayo pia waliiombea amani ya nchi na kumuweka Mhe. Raisi wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mikononi mwa Mungu ili azidi kuwakumbuka watanzania wengi wenye hali ya chini jambo ambalo amekuwa akilifanya tokea ameingia madarakani.

Akitoa neno la shukrani kwa wote waliofika Mhe. Nzalalila alisisitiza vijana kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili wanufaike na miradi inayoletwa katika Halmashauri yao. Sambamba na hilo pia alipeleka neno la shukrani kwa mbunge wa Jimbo la Sikonge Mhe. Joseph Kakunda kwa kuendelea kuwakumbuka wananchi wake na kupigania maendeleo yao ili kutimiza ilani ya uchaguzi ya CCM.

IMEANDALIWA NA

 KITENGO CHA TEKINOLOJIA HABARI NA MAWASILIANO 

SIKONGE.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa