• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

VIJIJI 71 WILAYANI SIKONGE VYANUFAIKA NA MITUNGI YA GESI YA RUZUKU IPATAYO 3255

Imewekwa: February 21st, 2025

Na, Edigar Nkilabo

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini REA wametoa mitungi ya gesi ya ruzuku zaidi ya 3000 kwa wakazi wa wilaya ya Sikonge ili kuhamasisha wananchi kutumia nishati safi ya kupikia kwa lengo la kulinda afya zao pamoja na kutunza mazingira.

Hayo yamebainishwa na Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Bwenge Mwesigwa wakati akizindua zoezi la usambazaji na uuzaji wa mitungi hiyo ya ruzuku ya kampuni ya Oryx gesi ambayo itauzwa kwa bei ya shilingi 20,000/= kwa wananchi wote wa vijiji vyote vya wilaya ya Sikonge.

Aidha Bwenge, ameishukuru serikali ya awamu ya sita kwa kuhimiza matumizi ya nishati safi kwa vitendo na kuwataka wananchi wote kuandaa vitambulisho vyao vya Taifa au namba ya NIDA na shilingi elfu ishirini kwa ajili ya kulipia mitungi hiyo ya ruzuku ili wapate nishati safi ambayo inafaida nyingi ikiwemo kulinda afya na kupunguza uharibifu wa mazingira unaosababishwa na utafutaji wa nishati ya kuni na mkaa.

Kwa upande wake Meneja wa Kanda Oryx gesi Leon Isaac amesema zoezi hilo linaendelea vizuri na mwamko wa Wananchi uko juu hivyo mitungi yote itawafikia mahali walipo ili kufikia lengo la serikali la kutaka wananchi wote kutumia nishati safi.

Naye Mratibu wa Nishati safi wilaya ya Sikonge Mahuna Mahuna amesema wameandaa utaratibu mzuri wa kuzifikia kata zote na vijiji vyote vya Sikonge na kutangaza matangazo ili wananchi wote wapate huduma hiyo.

Baadhi ya wananchi wameishukuru serikali kupitia REA kwa kupata huduma ya nishati safi kwa bei nafuu hali inayowapunguzia ukali wa maisha pamoja na kuwawezesha kulinda afya zao kwa kuepuka athari za nishati chafu kama kuni na mkaa. 

Lengo la serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuhakikisha ifikapo 2034, wananchi wawewanatumia nishati safi ya kupikia kwa 80%.      

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa