• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

UZINDUZI WA MRADI WA REA AWAMU YA TATU MKOA WA TABORA

Imewekwa: August 1st, 2017

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani leo tarehe 1 Agosti, 2017 amezindua mradi wa umeme vijijini REA awamu ya tatu katika Mkoa wa Tabora. Ambapo uzinduzi huo umefanyika katika kata ya Kisanga Wilayani Sikonge, aidha ameliagiza Shirika la umeme TANESCO kumsimamia vizuri mkandarasi aliepewa kazi hii ya kusambaza umeme vijijini ili kila nyumba ipate umeme kwa wakati. Aidha, Naibu Waziri amesisitiza kuwa nyumba zote hata za nyasi zitapata umeme na gharama ya kuunganishiwa umeme ni Tsh. 27,000/= elfu tu. Pia Naibu Waziri amesema, mradi huu wa REA awamu ya tatu una kazi zifuatazo:-

  1. Kupeleka umeme kwenye vijiji vyote ambavyo havijapata umeme
  2. Kupeleka umeme kwenye vitongoji vyote ambavyo vijiji vyake tayari vimeshapata umeme
  3. Kupeleka umeme kwenye taasisi zote za umma (Vituo vya afya, zahanati,shule na nyumba za ibada)
  4. Kupeleka umeme kwenye vyanzo vyote vya maji

Aidha, Naibu Waziri amewakabidhi na kuwaagiza wakandarasi kumaliza kazi hiyo ndani ya miezi 18 ili miezi 6 iwe ya kufanya marekebisho madogomadogo tu. Pia amesisitiza kuwa hatowaongeza muda wakandarasi hao wasipo maliza kazi hiyo ndani ya muda bali atashikilia mishahara yao.

TANESCO pia wameagizwa kuweka kituo chao katika kata ya Kisanga ili wateja wasipate shida ya kusafiri umbali mrefu kwa ajili ya kufanya malipo ya kuunganishiwa umeme na ikibidi wao TANESCO ndio wawafuate wateja huko walipo. Mhe. Dkt. Medard Kalemani alisema mwananchi apate umeme ndani ya wiki moja baada ya malipo na kusiwe na mizunguko isiyona sababu kumsumbua mwananchi.


HAPA KAZI TU- AGOSTI 2017

Imeandaliwa na Kitengo cha TEHAMA, Sikonge.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa