• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA SHERIA WAFANA WILAYANI SIKONGE.

Imewekwa: January 27th, 2024

Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Bi. Faraja Hebel ameongoza uzinduzi wa Maadhimisho ya Wiki ya sheria yaliyofanyika katika Viwanja vya Tasaf -Sikonge.

Maadhimisho hayo yamehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali wakiwemo Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Sikonge,Mwakilishi wa Mwendesha Mashtaka Mkoa wa Tabora, Afisa Ustawi wa Jamii na Kamanda wa Takukuru Wilaya ya Sikonge.

Akizindua maadhimisho hayo Bi. Faraja amesisitiza umuhimu wa wananchi kufahamu sheria hata kwa uchache ili kuwa raia wema na kuepuka ukiakaji wa sheria za nchi.

Kwa upande wake Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Sikonge Mhe. John Mpitanjia Mnamba amepongeza kufanyika kwa maadhimisho hayo na kuahidi ufanisi mkubwa kwa maadhimisho yajayo ikizingatiwa kuwa maadhimisho hayo yamefanyika kwa mara ya kwanza kwani hapo kabla hayakuwahi kufanyika kwa sababu ya kutokuwepo kwa Mahakama ya Wilaya hapa Sikonge.

Maadhimisho hayo yanalenga kuongeza uelewa wa sheria kwa wanachi ili kujenga jamii ya watu wanaofahamu sheria za nchi yao na kuzifuata.Shughuli zitakazofanyika katika wiki ya sheria ni pamoja na utoaji huduma za kisheria katika shule zote za kata ya Sikonge pamoja na Ofisi za Wenyeviti wa vitongoji kuanzia Januari 27 hadi Januari 31 ,2024 ambapo itakuwa ni siku ya kilele cha maadhimisho hayo.

Akihitimisha maadhimisho hayo Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mwanzo Mhe. Winfrida Magai amewashukuru wote waliohudhuria uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya sheria “Tunawashukuru sana kwa kuitikia wito wetu,Madam Faraja kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Sikonge,Asante sana tunakushukuru kwa kutuheshimu na kuweza kutufungulia wiki yetu ya sheria.Lakini pia nikushukuru Kaimu Mkurugenzi Bw.Kayange kwa kuweza kujumuika pamoja nasi na kipekee pia nikushukuru Kaimu Kamanda wa Polisi Wilaya ya Sikonge ambaye pia ni mkuu wa kituo cha polisi Sikonge” Amesema Mhe. Magai.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa