• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

UTEKELEZAJI UNAENDELEA VIZURI, TUENDELEE KUSIMAMIA MIRADI HII KWA KUZINGATIA SHERIA ZA FEDHA NA UNUNUZI WA UMMA – DKT. JOHN MBOYA.

Imewekwa: June 5th, 2024

Katibu Tawala wa mkoa wa Tabora Dkt. John Mboya amefanya ziara ya kawaida wilayani Sikonge kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika mwaka wa fedha 2023/2024.

Katika ziara hiyo Dkt. Mboya ametembelea ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Ibaya inayojengwa kwa fedha toka serikali kuu shilingi milioni 50,ujenzi umefikia asilimia 60 ya utekelezaji.

Vilevile amekagua ujenzi wa matundu 15 ya vyoo katika shule ya msingi Mitowo inayojengwa kwa fedha za mfuko wa wahisani (SWASH) shilingi milioni 45.7,ujenzi umefikia asiliami 98 ya utekelezaji.

Mradi mwingine uliotembelewa na Katibu Tawala Mkoa wa Tabora ni ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mkolye,unaojengwa kwa fedha toka serikali kuu shilingi milioni 138,ujenzi umefikia asilimia 90 ya utekelezaj, ambapo Dkt. Mboya amepongeza juhudi za Mkurugenzi pamoja na diwani wa kata ya Mkolye Mhe.Omar Kategile pamoja na kamati ya ujenzi kwa ufuatiliaji na uwepo wao wakati wote wa mradi unapotekelezwa.

Kwa upande wake Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tabora Bi. Tausi Yunge amesisitiza kuzingatia ufungaji wa mifumo ya Tehama katika zahanati zinazojengwa pamoja na vituo vya afya. “Tuzingatie ufungaji wa mifumo ya Tehama katika zahanati zetu,mara nyingi tunatengeneza tu mifumo ya umeme na kusahau kuandaa mifumo ya Tehama hususani mfumo wa GOTHOMIS.”amesema Bi. Yunge.


Naye Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Ndg. Nico Kayange amemshukuru Dkt. Mboya kwa kufika Wilaya ya Sikonge na ameahidi kwenda kuyafanyia kazi yale yote yaliyoshauriwa na wataalam toka ofisi ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora.

Akihitimisha  ziara hiyo Dkt. Mboya amesisitiza watalaam wa halmashauri kuendelea kusimamia miradi ya maendeleo kwa ustadi ili thamani ya fedha zinatoletwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan  ionekane.



Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa