• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

TULU IMENICHEFUA - MHE. ANTONY MAVUNDE

Imewekwa: July 18th, 2018

TULU IMENICHEFUA-MHE. ANTONY MAVUNDE

Ziara ya Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye ulemavu, Mhe Antony Mavunde imeingia doa leo baada ya kupata taarifa iliyomchefua ya kituo cha vijana maarufu kama TULU kilichopo katika Kata ya Igigwa Wilayani Sikonge.

Kituo hicho cha vijana ambachokilikuwa na lengo zuri kwa maendeleo ya vijana katika Wilaya ya Sikonge kimewanufaisha vijana wachache kwa miaka mitano ukilinganisha na makusudio yake pia kingeweza kuwapa vijana ujuzi na maarifa ambayo wangeyatumia kwa kuzalisha bidhaa mbalimbali na kuziuza ndani ya Wilaya na hata nje.  

Aidha, Mhe. Antony Mavunde ameeleza,”hii ni Halmashauri ya kwanza kubuni mradi kama huu wenye manufaa kwa jamii na nchi kwa ujumla lakini hamjakitendea haki kituo na vijana wa Sikonge kwa ujumla…bado haitoshi kituo kilichotumia fedha nyingi za wananchi zaidi ya bilioni 1.5 kinaenda kusajiliwa kama NGO…Tunaenda kufukua makaburi na waliohusika hatutawaacha hivi hivi”. Amemuagiza DC Sikonge kuunda tume ndogo itakayochunguza thamani ya fedha iliyotumika kwenye mradi huo.

Pia Mhe. Mavunde alisisitiza juu ya kituo hicho kuwa kitengenezewe utaratibu mzuri haraka utakao wanufaisha vijana wa Sikonge bila kuwaacha wale vijana walioanzisha kituo hicho kwani kitakuwa kituo cha mfano kwa nchi yetu.

Katika ziara hiyo, Naibu Waziri pia amepata fursa ya kuongea na wananchi hasa vijana katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Sikonge eneo la madukani na kuwaahidi kuwaletea mpango wa kurasmisha ujuzi wa vijana ambao umeshaanza kwa baadhi ya maeneo nchini na upo chini ya ofisi yake.

Aidha, Mhe. Mavunde amewataka vijana kujiunga katika vikundi na kuchagua viongozi watakao kuwa waadilifu ili waweze kukopeshwa na kuendesha miradi itakayowainua kiuchumi. Pia amesisitiza kuwa fedha hizi za mikopo hazina miguu yaani hazimfuati mtu, zinapatikana kwa utaratiu alioueleza awali. DC Sikonge, Peres Magiri baada ya kusikia habari ya SACCOS ambayoinaweza kupata mkopo kutoka ofisi ya Mhe. Mavunde alimpa Mkurugenzi Mtendaji Sikonge, Dakt. Simon Ngatunga mwezi mmoja awe amekamilisha uundaji wa SACCOS ya vijana na kutuma maombi ya mkopo haraka ili vijana wa Sikonge wanufaike.

Kabla kuhitimisha mkutano wa hadhara Mhe. Mavunde aliwashukuru wananchi wa Sikonge kwa kujitokeza kwa wingi pia aliwapongeza kwa kumchagua Mbunge wa Sikonge ambae sasa ni Naibu Waziri OR TAMISEMI, Mhe. Joseph Kakunda mchapa kazi mahiri na mtu wa vitendo tu sio maneno mpaka anatamani angekuwa mpiga kura wake kwa maendeleo anayoyaleta Sikonge ikiwemo miradi ya barabara, Maji ya ziwa viktoria, Miradi ya Elimu na Hospitali ya Wilaya na kuwataka wasiipoteze bahati hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa