• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

TAASISI YA YOUNG STRONG MOTHERS FOUNDATION YATOA VIFAA VYA MICHEZO KWA SHULE TATU ZA SEKONDARI SIKONGE.

Imewekwa: April 16th, 2024

Taasisi isiyokuwa ya kiserikali  ya Young Strong Mothers Foundation ya mjini Morogoro imetoa msaada wa vifaa vya michezo kwa shule tatu za sekondari zilizopo wilayani Sikonge ambazo ni  Shule ya Sekondari Mkolye,Tutuo na Mole. Vifaa vilivyotolewa ni pamoja na sare za mchezo wa mpira wa miguu kwa shule tatu,mipira,kamba za mazoezi,vifaa vya kufanyia mazoezi uwanjani “cones”,soksi ,leso pamoja na taulo za kike.

Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi hiyo Bi. Jackline Bomboma amesema “Sisi kazi yetu kubwa ni kushirikiana na Serikali pamoja na wazazi na wadau mbalimbali katika kukabiliana na changamoto za mimba za utotoni,ndoa za utotoni na kusitisha masomo kwa watoto wa kike shuleni,na tunafanya hivyo kuwasaidia vifaa mbalimbali vikiwemo vifaa vya shule kama vile viatu soksi,sketi,shati,begi,madaftari,taulo za kike,mafaili ya kutunzia mitihani,lakini pia nakuendelea kutoa elimu za wao waweze kujitambua,kujithamini na kujituma katika elimu”.

Zoezi hilo limeshuhudiwa na,Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge na diwani wa kata ya Tutuo Mhe. Rashid Magope, Kaimu Mkuu wa Divisheni ya Elimu Sekondari Bw. Charles Mwita kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge,diwani wa kata ya Mkolye, Mhe. Omar Kategile na diwani kata ya Mole,Mhe. Seif Mahanga pamoja na wakuu wa shule za sekondari Tutuo,Mkolye na Mole.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge ameshukuru kwa msaada huo uliotolewa leo hasa kwa kuchagua Sikonge badala ya maeneo mengine,lakini pia  amewasihi watoto wa kike kuzingatia masomo na kuepuka kulubuniwa na watu waovu “hususani ninyi wasichana,mmekuwa mkidanganywa ,mkilubuniwa na kuachia njiani masomo yenu,lakini kupitia taasisi hii yako mambo mtasaidiwa”amesema Mhe. Magope.

Muasisi wa taasisi ya Young Strong Mothers Foundation Bi.Jackline Bomboma ni mzaliwa wa Sikonge katika kijiji cha Kikungu,amepata ushawishi wa kuja kufanya kazi Sikonge baada ya kukutana na Mbunge wa jimbo la Sikonge Mhe. George Joseph Kakunda na alimuahidi kuwa wakati muafaka ukifika atakuja Sikonge.Tangu aanze kufanya kazi Sikonge amefanyika kuwa msaada mkubwa sana katika sekta ya elimu hasa katika kusaidia watoto wa kike wanaoishi katika mazingira magumu na wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kwa ujumla.




Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • UZINDUZI WA SHULE YA MSINGI KININGA - KATA YA IPOLE

    May 09, 2025
  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa