• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Sikonge District Council
Sikonge District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Idadi ya Watu
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhamira na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Mifugo na uvuvi
      • Afya na Ustawi wa jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Mazingira na Taka ngumu
      • Kilimo, Umwagilaji na Ushirika
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Uchimbaji wa Madini
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo Ndogo
    • Miongozo Mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya sanaa
      • Sanaa za picha
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba
    • Habari mpya
    • Matukio

SIKONGE YAZINDUA MNADA MKUBWA WA MIFUGO

Imewekwa: May 29th, 2019

SIKONGE YAZINDUA MNADA MKUBWA WA MIFUGO. 

Halmashauri ya Sikonge yazindua Mnada mkubwa wa Mifugo na bidhaa katika kata ya Mpombwe uliojengwa kwa mapato ya ndani.

Mnada huo uliozinduliwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge Mhe. Peter Nzalalila kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya alisema kuwa mnada huo ni mkubwa ukilinganishwa na ya minada mitano iliyopo katika halmashauri ya Sikonge, ambao umetumia gharama za Tsh. Mil 29 hadi kukamilika kwake.

Aliongeza kuwa hiyo ni fursa pekee kwa wafugaji na wafanyabiashara wa mifugo kwani utaondoa adha ya kupeleka mifugo yao mbali ambapo wafugajia walikuwa wakipeleka mifugo kwenye Wilaya nyingine jambo lililokuwa linapelekea  changamoto ya kutembea umbali mrefu vilevile kupoteza mapato ya Halmashauri. Hivyo alishauri wafugaji kuitumia fursa hiyo vizuri.

Akitoa takwimu za Mifugo inayotegemewa kuuzwa kwenye mnada huo. Kaimu mkuu wa Idara ya Mifugo na Uvuvi Mipawa Majebele alisema kuwa mnada huo unategemewa kuuzwa ng’ombe zaidi ya mia nane (800) na mbuzi zaidi ya mia nne (400) jambo ambalo litaipatia Halmashauri mapato, na  zaidi ya Mil. 2 zinategemewa kukusanywa Kwa mwezi.

Mwemyekiti wa Halmashauri Mhe. peter Nzalalila akizungumza na wafugaji (hawapo pichani) siku ya Uzinduzi wa Mnada.

Aidha aliwataka wafugaji kuitunza mifugo yao kwa kufuata njia za kitaalamu kwa kuitibu na kuiosha kwenye majosho ambayo tayari yamefufuliwa ili kuipa mifugo thamani katika soko la mifugo huku akitaja ugonjwa wa mapele ngozi ambao umekuwa tishio kwa mifugo kuwa unatibiwa na kuwataka wafugaji wasisite kupata ushauri toka kwa maafisa mifugo mara watakapoona dalili kwenye mifugo yao sanjari na kuchanja chanjo ya mifugo mara kwa mara kulingana na utaratibu uliowekwa na wataalam.

Akigusia changamoto ya njia za kupitishia Mifugo Majebele alisema kuwa vijiji vinaweza kutatua changamoto hiyo kwa kutenga mita 70 kwa ajili ya kuruhusu mifugo hiyo kupita na njia hizo ziheshimiwe kwani hawako tayari kuona mifugo ikipata tabu tena.

 Uzinduzi wa mnada huo ulipokelewa kwa shangwe kubwa na wafugaji wakiwakilishwa na Diwani wa kata ya Mpombwe Mhe. Juma  Mdulla aliyetoa shukrani zake kwa serikari huku akisema kwa niaba ya wanampombwe wanaipongeza Serikali kupitia Halmashauri kwani wameweka jambo  la kihistoria ambalo  litakumbukwa. Wanaahidi kuitumia fursa hiyo kujikwamua kiuchumi hivyo wanawakaribisha wafugaji na wafanyabiashara mbalimbali kufika Mpombwe kwa ajili ya kufanya biashara.


IMETOLEWA NA 

KITENGO CHA TEKINOLOJIA HABARI NA MAWASILIANO(TEHAMA)

 SIKONGE

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUKODISHA CANTEEN [MGAHAWA] MPYA KWENYE JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZAABUNI YA KUMPATA MWEKEZAJI KATIKA KIWANDA CHA KATI CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI(MARUDIO) June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA USAFI KWENYE OFISI ZA HALMASHAURI June 07, 2023
  • ZABUNI YA KUTOA HUDUMA YA ULINZI June 07, 2023
  • Angalia zaidi

Habari Mpya

  • MJUMBE WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WILAYANI SIKONGE

    May 07, 2025
  • KIKAO CHA TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE WILAYANI SIKONGE

    April 29, 2025
  • WATENDAJI WA INEC WILAYANI SIKONGE WAMEKULA KIAPO CHA UADILIFU, KUJIWEKA KANDO NA VYAMA VYA SIASA.

    April 29, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SIKONGE YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA KUFANYA USAFI

    April 26, 2025
  • Angalia zaidi

Video

Ziara ya Waheshimiwa Madiwani Wilayani Rungwe - Mbeya.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Zabuni
  • Matukio
  • Matangazo
  • Habari

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Mkoa wa Tabora
  • TAMISEMI
  • Urambo DC
  • UTUMISHI
  • Kaliua DC

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Sikonge DC

    Anuani ya Posta: S.L.P 70 Sikonge, Tabora

    Simu: 0767135460

    Simu: 0767135460

    Barua pepe: ded@sikongedc.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma zetu

Hatimiliki ©2017Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Haki zote zimehifadhiwa